VanDon
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 396
- 680
😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂
Siku moja ukikutana na Profesa, muombe akuonyeshe balance aliyonayo Bank.... Utakuja badili maneno yakoPamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Yule Kabudi sio profesa?Professor hajawahi kuwa chawa,hajafikia hatua ya kujidhalilisha kushobokea wanaume wenzie ili pesa ziingie,professa akipata mtoto wa kiume hajawahi lazimisha apewe jina la Boss wake ili kumfurahisha zaidi na kibarua kiendelee kudumu. Professor hajawahi kuwa mropokaji.
Mjini ni kujitoa akili ili uishi vizuri mitandaoni
Ni Full ProfessorYule Kabudi sio profesa?
🤣🤣Kwenye mitandao ya kijamii kweli wana maisha mazuri
Mambo ya Dr janabi🤣Ukisoma sana unakua mjinga baada ya kuwa bora, yani katika kila kitu utaona ni vya kijinga kufanya mfano kujenga nyumba nzuri utaona ni ujinga kuwa na nyumba nzuri, kula utaona maharagwe yana faida kuliko nyama
Dah[emoji28]Kuna Prof ana vyumba 7 vya kupangisha wanafunzi Changanyiken basi anaona kayapatia maisha na PhD yake
Nacheka sana huu uziKuna Prof ana vyumba 7 vya kupangisha wanafunzi Changanyiken basi anaona kayapatia maisha na PhD yake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magari second hand
Msomi anafikiri kabla ya kutenda, na hili ndio tatizo. Unaweza kufikiri hana pesa kumbe alifikiria kwanza faida za kupanda daraja lingine.Tukubali maprofesa wetu wapo Hoi kiuchumi kuliko ngumbaro walio wengi. Mara kadhaa nimesafiri ndege moja na Vice Chancellorbwa UDOM (sawa na CEO/MD wa taasisi ya Umma/kampuni) eti Prof kapanda Economy class kama Sisi Ngombaru
Profesa sio profesa dunia nzima[emoji28][emoji28]hili nakataa. Mzungu hajawahi kuamini elimu yetu ndio sababu msomi akitaka kufanya kazi kule lazima aingie darasani tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa nguvu daah hatari sana ahahaha daaah…mkuu lakini Profesa ni profesa tu dunia nzima , mazingira ya huku mkuu si unayaelewa ?
Masters ya kule sio kama zenuKwa hiyo umekubali kuwa Sundar Pichai ana masters tu Hana PhD?
Kuna wakati huwa natamani ianze kutolewa elimu ya tafsiri sahihi ya kuwa na maisha mazuri. Nadhani inahitajika sana kwa sasa.Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Masters ya kule sio kama zenu
Aisee, ebu soma tena ulichoandika, story za vijiwen hizo , mfano ukiwa certified na CCNP , ukienda kufanya kazi ulaya inabid uwe cerified tena ? Mkuu hizi institutions zinazotoa hizo vitu zipo governed na ISO mastaaProfesa sio profesa dunia nzima[emoji28][emoji28]hili nakataa. Mzungu hajawahi kuamini elimu yetu ndio sababu msomi akitaka kufanya kazi kule lazima aingie darasani tena
Masters ya TUDARCO Ni sawa na ya Harvard?Aisee, ebu soma tena ulichoandika, story za vijiwen hizo , mfano ukiwa certified na CCNP , ukienda kufanya kazi ulaya inabid uwe cerified tena ? Mkuu hizi institutions zinazotoa hizo vitu zipo governed na ISO mastaa
Huu uprofesa umeutunga wewe?Uprofesa ni namna unavyopambana na mazingira ili kupata maisha mazuri. Kuna ambao hawajaenda shule ila ni maprofesa wa maisha. Ila uprofesa wa maisha + uprofesa wa darasani ni ufanisi zaidi. Yule mbunge darasa la saba, angeongeza na uprofesa wa darasani angekuwa mfano wa kuigwa duniani. Angekaa meza moja na professor PO Lumumba wa Kenya.
Nikasoma harafu nikajiuliza huyu ndie Profesa nini wa SUA[emoji3][emoji2][emoji1][emoji16][emoji38][emoji28][emoji1787][emoji23]Professor hajawahi kuwa chawa,hajafikia hatua ya kujidhalilisha kushobokea wanaume wenzie ili pesa ziingie,professa akipata mtoto wa kiume hajawahi lazimisha apewe jina la Boss wake ili kumfurahisha zaidi na kibarua kiendelee kudumu. Professor hajawahi kuwa mropokaji.
Mjini ni kujitoa akili ili uishi vizuri mitandaoni