Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huyo jamaa kwa pombe yupo vizuri. Zembwela yeye ni bangi kama yule jamaa wa mawingu fmIngekuwa ni Hoja ya Ulevi na Pombe angeichangia mno kwani ndiyo Kilevi chake Tukuka na Kinachomtesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa kwa pombe yupo vizuri. Zembwela yeye ni bangi kama yule jamaa wa mawingu fmIngekuwa ni Hoja ya Ulevi na Pombe angeichangia mno kwani ndiyo Kilevi chake Tukuka na Kinachomtesa.
Nimechukia Yeye kuiunga Mkono hadharani na Kuishadadia hivyo / vile ( tena Redioni Wasafi FM mbele ya Spika wa Bunge Tulia Ackson Nyumbani Kwake ) kwani anaharibu na kutuharibia Wadau.leo unamgeuka mwenzio?[emoji849]
Tena mno na Yule Mzungu wake Mkewe.
haha ulitaka akayatolee wapi yeye kama mwananchi wa kawaida?Maoni anayatolea Redioni Wasafi FM? Are you Okay Mentally?
Sahihi mkuu. Huwa mambo yanaanza hivi hivi taratibu kimasiara baadae yanakua kwa kasi na kupata wafuasi wa kuyapambania yahalalishwe.Siku hizi Wadai haki za Kizandiki wanaongezeka kila uchwao , Mtu kujitokeza na kuhamasisha watu watumie dawa za Kulevya huwezi kumtofautisha na hawa wadai haki za Kishoga
Kuisemea redioni kuna athari gani?Pumbavu eleweni Hoja yangu Kuisemea Hewani kama hivyo tena Redioni ina athari Kubwa na hata Kisheria hairuhusiwi.
Hoja yako hii ingekuwa na Mashiko kama tu ingesemewa Bungeni ambako utungwaji wa Sheria unafanyika. Amekosea.
Yani mru kutoa maoni yake tu ndiyo iwe nongwa mpaka unataka TCRA wamchukulie hatua? Sasa Uhuru wa maoni upo wapi?"Nchi nyingi Siku hizi tena zilizoendelea kama ninayosafiri sana ya Netherlands na nyinginezo zinaruhusu Uvutaji wa Bangi kwa Raia wake wanapotaka sioni sababu ya Tanzania kuzuia wakati Bangi nayo ni Burudani na ina Starehe yake" amesema Mtangazaji wa Wasafi FM Zembwela (Hillary Daud) akiwa Nyumbani kwa Spika wa Bunge na Watangazaji Wenzake ambako kwa Asubuhi ya Leo wanafanyia Kipindi hapo.
Kwa GENTAMYCINE ninayemjua ndani nje Zembwela tokea akiwa Comedian na Rafiki yake Marehemu Max, alipokuwa East Africa Radio na East Africa Tv na Mitaani Sinza, Tandale, Mwenge na Magomeni na nini hasa anachokitumia ndiyo maana Macho yake 24/7 huwa ni Mekundu na Mdomo wake una Uweusi mwingi ngoja ninyamaze na niishie hapa tu.tafadhali.
TCRA Kazi Kwenu na Zembwela alivyo wa hovyo hovyo baada ya Awali katika Maelezo yake kutaka Watanzania tuvute Bangi muda si mrefu Kiunafiki kabisa ametengua hiyo Kauli na Kuzuga kwa kusema Tanzania hairuhusu Uvutaji wa Bangi.
Tafadhali achukuliwe hatua haraka pamoja na hiyo Redio ( Wasafi FM ) kwani kwa Kauli yake tu ya Awali kututaka Watanzania tuvute Bangi na Kuiomba Serikali iruhusu Uvutaji huo wa Bangi tena Hewani ( On Air ) imeleta Usumbufu na inaweza kupokelewa vibaya na tusiovuta Bangi hiyo akina GENTAMYCINE tukashawishika kuanza Kuivuta na Kulanduka nayo vilevile.
Sahihi mkuu. Huwa mambo yanaanza hivi hivi taratibu kimasiara baadae yanakua kwa kasi na kupata wafuasi wa kuyapambania yahalalishwe.
Tena usinitibue kabisa nikayaanika yake mengineyo hapa na mkamdharau mazima.Yani mru kutoa maoni yake tu ndiyo iwe nongwa mpaka unataka TCRA wamchukulie hatua? Sasa Uhuru wa maoni upo wapi?
Kwa zembwela ninayemjua mimi endapo mwandika uzi angekuwa anakufahamu kwa jinsi ulivyoandika ukuda na kumkanyagia hivi,leo ungeumuka mwili Kama mkate maana angekupiga kata funua nyingi sana.
Huyo zake konyagi na sunguraKwani Hando amesemaje kwenye hili
Shida ya hawa watu wasio na taaluma ya utangazaji ni kubwa"Nchi nyingi Siku hizi tena zilizoendelea kama ninayosafiri sana ya Netherlands na nyinginezo zinaruhusu Uvutaji wa Bangi kwa Raia wake wanapotaka sioni sababu ya Tanzania kuzuia wakati Bangi nayo ni Burudani na ina Starehe yake" amesema Mtangazaji wa Wasafi FM Zembwela (Hillary Daud) akiwa Nyumbani kwa Spika wa Bunge na Watangazaji Wenzake ambako kwa Asubuhi ya Leo wanafanyia Kipindi hapo.
Kwa GENTAMYCINE ninayemjua ndani nje Zembwela tokea akiwa Comedian na Rafiki yake Marehemu Max, alipokuwa East Africa Radio na East Africa Tv na Mitaani Sinza, Tandale, Mwenge na Magomeni na nini hasa anachokitumia ndiyo maana Macho yake 24/7 huwa ni Mekundu na Mdomo wake una Uweusi mwingi ngoja ninyamaze na niishie hapa tu.tafadhali.
TCRA Kazi Kwenu na Zembwela alivyo wa hovyo hovyo baada ya Awali katika Maelezo yake kutaka Watanzania tuvute Bangi muda si mrefu Kiunafiki kabisa ametengua hiyo Kauli na Kuzuga kwa kusema Tanzania hairuhusu Uvutaji wa Bangi.
Tafadhali achukuliwe hatua haraka pamoja na hiyo Redio ( Wasafi FM ) kwani kwa Kauli yake tu ya Awali kututaka Watanzania tuvute Bangi na Kuiomba Serikali iruhusu Uvutaji huo wa Bangi tena Hewani ( On Air ) imeleta Usumbufu na inaweza kupokelewa vibaya na tusiovuta Bangi hiyo akina GENTAMYCINE tukashawishika kuanza Kuivuta na Kulanduka nayo vilevile.