Zembwela wa Wasafi FM aitaka Serikali iruhusu Uvutaji wa Bangi kwa Wanaohitaji huku akiisifia mno

Zembwela wa Wasafi FM aitaka Serikali iruhusu Uvutaji wa Bangi kwa Wanaohitaji huku akiisifia mno

"Nchi nyingi Siku hizi tena zilizoendelea kama ninayosafiri sana ya Netherlands na nyinginezo zinaruhusu Uvutaji wa Bangi kwa Raia wake wanapotaka sioni sababu ya Tanzania kuzuia wakati Bangi nayo ni Burudani na ina Starehe yake" amesema Mtangazaji wa Wasafi FM Zembwela (Hillary Daud) akiwa Nyumbani kwa Spika wa Bunge na Watangazaji Wenzake ambako kwa Asubuhi ya Leo wanafanyia Kipindi hapo.

Kwa GENTAMYCINE ninayemjua ndani nje Zembwela tokea akiwa Comedian na Rafiki yake Marehemu Max, alipokuwa East Africa Radio na East Africa Tv na Mitaani Sinza, Tandale, Mwenge na Magomeni na nini hasa anachokitumia ndiyo maana Macho yake 24/7 huwa ni Mekundu na Mdomo wake una Uweusi mwingi ngoja ninyamaze na niishie hapa tu.tafadhali.

TCRA Kazi Kwenu na Zembwela alivyo wa hovyo hovyo baada ya Awali katika Maelezo yake kutaka Watanzania tuvute Bangi muda si mrefu Kiunafiki kabisa ametengua hiyo Kauli na Kuzuga kwa kusema Tanzania hairuhusu Uvutaji wa Bangi.

Tafadhali achukuliwe hatua haraka pamoja na hiyo Redio ( Wasafi FM ) kwani kwa Kauli yake tu ya Awali kututaka Watanzania tuvute Bangi na Kuiomba Serikali iruhusu Uvutaji huo wa Bangi tena Hewani ( On Air ) imeleta Usumbufu na inaweza kupokelewa vibaya na tusiovuta Bangi hiyo akina GENTAMYCINE tukashawishika kuanza Kuivuta na Kulanduka nayo vilevile.
mimi nataka waruhusu hata kwa kibali, for medical purposes kama nchi zingine. Niwe mkulima wa bangi nimechoka kulima mazao yasiyo na soko la uhakika. Bangi inauzika kirahisi sana na kwa bei ya juu. Misimu miwili tu nikilima ekari kumi kila msimu nitauaga umaskini😀
 
Nashukuru kwa kulijua hilo na anaivuta mno kiasi kwamba zinamfanya awe Mwehu sometimes.
Maskani yao si ilikuwa karibu na shule ya mapambano kwenye liuwanja lile
Team yao ya mpira si ile inaitwa dicipline, wakikaa hapo walikuwa wanajiachia

Ova
 
Ana hoja asikilizwe.,msiishie kumshambulia tu bila hoja yoyote
Unafiki huyu mwamba Genta inaonekana ana bifu zake binafsi sio mtu wa kudis kaya kiasi hiki bangi Ina shida gani watu tunaivuta miaka nenda Rudi na bado tunawahudumia wananchi kwa weledi Wala hawawezi kuhisi tunatumia watu waache unafiki bangi sio mbaya kama inavyopaishwa
 
Kichwa Cha mtanzania ni bangi tosha...hatutaki kupandisha gauge.,...kama yeye anahimil kuvuta aendeleze tu ila si kutusemea
 
Acheni upopoma.. bangi iruhusiwe. Marais karibia wote wa marekani, tukianzia Clinton, Bush junior, Obama na mkewe, hata Rais mpendwa mno wa marekani John Kennedy, walikuwa wavutaji wazuri wa bangi. Nyinyi ni nani mapopoma mpaka muipinge bangi?

View attachment 2609425
Marais wengi sana wa marekani wako documented kuhusishwa na utumiaji wa hiyo kitu,Tena including Marais ambao ni Bora kabisa
 
Marais wengi sana wa marekani wako documented kuhusishwa na utumiaji wa hiyo kitu,Tena including Marais ambao ni Bora kabisa
Bangi ilianza kufanyiwa hujuma kijanja sana na mpaka do hii hujuma zile zimetawala,report kibao za madaktari hazikuwahi thibitisha,vita ya bangi ni uchumi.ukisoma "refer madness" utapata sakata Zima la kuzima mchakato wa bangi,Ngoma Iko deeply rooted in racial bases.
 
Nakubaliana na wew akamatwe haraka sana
Bangi ina madhara kwa wabongo tu? Elon Musk tajiri wa kupindukia duniani anavuta bangi na anafanya maajabu duniani!
Hakuna sababu ya kumkamata wala kumshutumu kwani ameanzisha mjadala mzuri.
Mimi nawafahamu mawaziri wa serikali ya Mkwere waliokuwa wavuta bangi mahiri. Kuna wakuu wa mikoa wanaokula ganja wengi tu!
Marekani wanatengeneza mpaka pipi na biscuits za bangi.
It's also used for medicinal purposes.
 
Bangi ina madhara kwa wabongo tu? Elon Musk tajiri wa kupindukia duniani anavuta bangi na anafanya maajabu duniani!
Hakuna sababu ya kumkamata wala kumshukuru kwani ameanzisha mjadala mzuri.
Mimi nawafahamu mawaziri wa serikali ya Mkwere waliokuwa wavuta bangi mahiri. Kuna wakuu wa mikoa wanaokula ganja wengi tu!
Marekani wanatengeneza mpaka pipi na biscuits za bangi.
It's also used for medicinal purposes.
Vita ya bangi wengi hawajui chanzo chake ndio maana wafuata mkumbo ni wengi,ukijua chanzo chake Wala huwezi shangaa,in short bangi ni great threat to pharmaceutical companies as well as tobacco industrialists.
 
Nimechukia Yeye kuiunga Mkono hadharani na Kuishadadia hivyo / vile ( tena Redioni Wasafi FM mbele ya Spika wa Bunge Tulia Ackson Nyumbani Kwake ) kwani anaharibu na kutuharibia Wadau.
Kwa hiyo unaogopa atamuaribu Spika Tulia nae aanze Kulanduka Kama yeye!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu GENTAMYCINE si unajua huyo jamaa ni comedian? Huenda alikuwa anachekesha tu watanzania turuhusiwe kuvuta bangi. Kwa kuwa tunajua madhara ya bangi wengine hatutavuta bangi hata kama ikiruhusiwa kama ilivyo tumbaku
Watu wengine wanaogopa bangi ikiruhusiwa watalazimishwa kila Mtu lazima avute ganja,kumbe siyo, Kuku wanarusiwa kuliwa lakini kuna wengine hawali Kuku kabisa!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Nakubaliana na wew akamatwe haraka sana
Wewe mbwiga akamatwe kwa kosa gani? Bangi kama Konyagi haina madhara if consumed in moderation!
Vijana wanavuta na njaa unategemea nini? Watakuwa wehu tu.
Walioshiba huko majuu wana hotel special za kuvutia bangi; unapewa menu kabisa uchague kama unataka cha Tarime au Arachuga uchaguzi ni wako!
 
Kama hukuwahi kuvuta bange Wala Sigara,kamwe huwezi Anza kuivuta kiss ZEMBWELA kaongea.Unakuwa mjinga.

Kwani Bange haivutwi hapa Tanzania.
Nyie ndo mnaoishi kiunafiki kabisa,eti mnashurutisha Akanatwe,kwani akikamatwa ndo itaondoa uvutaji was Bange hapa TZ.
Wazeni nje ya BOX
 
"Nchi nyingi Siku hizi tena zilizoendelea kama ninayosafiri sana ya Netherlands na nyinginezo zinaruhusu Uvutaji wa Bangi kwa Raia wake wanapotaka sioni sababu ya Tanzania kuzuia wakati Bangi nayo ni Burudani na ina Starehe yake" amesema Mtangazaji wa Wasafi FM Zembwela (Hillary Daud) akiwa Nyumbani kwa Spika wa Bunge na Watangazaji Wenzake ambako kwa Asubuhi ya Leo wanafanyia Kipindi hapo.

Kwa GENTAMYCINE ninayemjua ndani nje Zembwela tokea akiwa Comedian na Rafiki yake Marehemu Max, alipokuwa East Africa Radio na East Africa Tv na Mitaani Sinza, Tandale, Mwenge na Magomeni na nini hasa anachokitumia ndiyo maana Macho yake 24/7 huwa ni Mekundu na Mdomo wake una Uweusi mwingi ngoja ninyamaze na niishie hapa tu.tafadhali.

TCRA Kazi Kwenu na Zembwela alivyo wa hovyo hovyo baada ya Awali katika Maelezo yake kutaka Watanzania tuvute Bangi muda si mrefu Kiunafiki kabisa ametengua hiyo Kauli na Kuzuga kwa kusema Tanzania hairuhusu Uvutaji wa Bangi.

Tafadhali achukuliwe hatua haraka pamoja na hiyo Redio ( Wasafi FM ) kwani kwa Kauli yake tu ya Awali kututaka Watanzania tuvute Bangi na Kuiomba Serikali iruhusu Uvutaji huo wa Bangi tena Hewani ( On Air ) imeleta Usumbufu na inaweza kupokelewa vibaya na tusiovuta Bangi hiyo akina GENTAMYCINE tukashawishika kuanza Kuivuta na Kulanduka nayo vilevile.
Mnawaangalia hao commedian? Kuna Cha maana huw wanaongea? Kama huyo Zembwela aliwrza vipi kuwa mtangazaji? Too low
 
Back
Top Bottom