Zengwe lagubika ziara ya Rais na wasanii; waratibu wadaiwa kufanya mchezo mchafu

Huyo kibonde ndio nani?yani mpana kama mlango wa kontena
 
Badala rais aende huko na wataalam wa masuala mbali mbali anaenda na wasanii
Hyo safari alitengenezewa,alipigwaaa

Ova
 
Badala rais aende huko na wataalam wa masuala mbali mbali anaenda na wasanii
Hyo safari alitengenezewa,alipigwaaa

Ova
Alienda nao pia Mkuu, kama ungefuatilia kwa umakini ungeona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…