Zengwe zito uchaguzi TFF

Zengwe zito uchaguzi TFF

Siyo kweli, ingawa na mimi ni mzaliwa wa Mkoa wa Kagera lakini huwa si support mambo ya ndiyo sivyo, jaribu kupitia comments zangu kuhusu Malinzi hasa pale alipotaka kumuwekea pingamizi jamaa fulani nimesahau jina lake, nilimjia juu kweli kweli kwamba hazianzishe mizengwe hisiyo na tija - let wapiga kura ndiyo wachangue Kiongozi watakaye muona anafaa - please jaribu kutafuta comments zangu.
Wale wale tu, wakabila !
 
wapiga kura washahongwa mkuu,kitu alichokifanya Poti Malinzi ni kuhakikisha wajumbe wengi wanaopitishwa wilayani wanakuwa ni watu ambao ni watiifu kwake,ndiyo maana walipopitishwa wajumbe ambao ni tofauti na yeye uchaguzi ulifutwa ushahidi upo mwingi tu
Siyo kweli, ingawa na mimi ni mzaliwa wa Mkoa wa Kagera lakini huwa si support mambo ya ndiyo sivyo, jaribu kupitia comments zangu kuhusu Malinzi hasa pale alipotaka kumuwekea pingamizi jamaa fulani nimesahau jina lake, nilimjia juu kweli kweli kwamba hazianzishe mizengwe hisiyo na tija - let wapiga kura ndiyo wachangue Kiongozi watakaye muona anafaa - please jaribu kutafuta comments zangu.
 
Alipanga wahaya wenziwe ili waigeuze TFF Kagera Sugar !

Tatizo lako badala ya kutumia akili ulizo jaliwa na your Makers unakimbilia kutuletea mipasho ya taarabu, hilo la kwanza - la pili, nani alikwambia Kiwanda cha Kagera ni mali ya Wahaya - nani? je, ni Wahaya wangapi wapo kwenye team ya Kagera Sugar?

Baba wa Taifa aliwahi kusema kwamba watu waliofirisika akili reasoning capacities uwatuma kumbilia kutaja taja makabila wakikosa hoja zenye mshiko - wewe ni spitting image ya kundi hilo - Iam sorry kukwambia hivyo - leta hoja sio kutaja taja makabila.
 
Siyo kweli, ingawa na mimi ni mzaliwa wa Mkoa wa Kagera lakini huwa si support mambo ya ndiyo sivyo, jaribu kupitia comments zangu kuhusu Malinzi hasa pale alipotaka kumuwekea pingamizi jamaa fulani nimesahau jina lake, nilimjia juu kweli kweli kwamba hazianzishe mizengwe hisiyo na tija - let wapiga kura ndiyo wachangue Kiongozi watakaye muona anafaa - please jaribu kutafuta comments zangu.
lakini si mwenyekiti wa chama cha soka Kagera ,Mwache akaongozi kagera mkuu
 
wapiga kura washahongwa mkuu,kitu alichokifanya Poti Malinzi ni kuhakikisha wajumbe wengi wanaopitishwa wilayani wanakuwa ni watu ambao ni watiifu kwake,ndiyo maana walipopitishwa wajumbe ambao ni tofauti na yeye uchaguzi ulifutwa ushahidi upo mwingi tu

Mkuu, kama MALINZI anaji-tumkubisa kutumia mbinu hizo na a water tight ushahidi hupo hapo mimi sita mtetea.
 
Tatizo lako badala ya kutumia akili ulizo jaliwa na your Makers unakimbilia kutuletea mipasho ya taarabu, hilo la kwanza - la pili, nani alikwambia Kiwanda cha Kagera ni mali ya Wahaya - nani? je, ni Wahaya wangapi wapo kwenye team ya Kagera Sugar?

Baba wa Taifa aliwahi kusema kwamba watu waliofirisika akili reasoning capacities uwatuma kumbilia kutaja taja makabila wakikosa hoja zenye mshiko - wewe ni spitting image ya kundi hilo - Iam sorry kukwambia hivyo - leta hoja sio kutaja taja makabila.
Usitushughulishe aiseeh, kila mchangiaji anakushangaa unavyo haingaika. Na ni uhaya tu ndo unakusumbua. Hata vitu vya wazi unajifanya huvioni. Malinzi kala pesa ya TBL, Azam, Vodacom na za Serengeti Boys !
 
Mkuu, kama MALINZI anaji-tumkubisa kutumia mbinu hizo na a water tight ushahidi hupo hapo mimi sita mtetea.
Malinzi aliyumia mbinu aliyotumia Mkuu Lowasa kuwa na wajumbe watiifu katika uchaguzi,na alikuwa anaenda kushinda kwa kishindo
 
Well said, nimekupata vizuri sana mkuu - narudia kusema kwamba sio kwamba namtetea Malinzi na kundi lake - mkuu mimi binafsi nimefanya kazi na Govt Agencies za wenzetu weupe si rahisi kukwapua fedha zao bila ya kubainika, wako makini kweli kweli, sasa swali? Unakuwaje FIFA isewe na wasi wasi na Malinzi na kundi lake, kumbuka FIFA wanatoa fedha nyingi kwenye masuala ya kuendeleza mpira nchini - sasa iweje tena kwa sisi kudai kwamba Malinzi na wenzake ni wezi wa kutupwa, kisa? Eti wamekwapua fedha za michango ya Serengeti Boys, kuna ukweli gani katika madai hayo kama si majungu na fitina za kujaribu kutafuta sababu za kumuengua Malinzi hasiwanie kiti cha Uongozi wa TFF - kwa nini msiwachie wapiga kura ndiyo wachague mgombea wanaye mtaka wao, yaani masaa yote maadui wake wanatumia vyombo vya habari ku-demonise binadamu wenzao - hivi inaingilia akilini kwamba Malinzi atakimbilia kukwapua michango ya Serengeti Boys yaani akose chembe ya Uzalendo, hivi Malinzi ana njaa ya kufikia kujidhalilisha kweli? Personally I don't think so, if anything angekimbilia fedha za FIFA ambazo zilikuwa ni nyingi ukilinganisha na za Serengeti Boys.
mkuu kabla ya Kuna huku jf na mapovu ungeelewa kwanza wanashtakiwa kwa makosa gani.sio pesa za FIFA wala Serengeti boys Ni ripoti ya auditor WA tbl ndo msingi WA kesi mengineyo mbwembwe tu
 
Malinzi anajulikana. Msimletee misiba isiyomuhusu
 
Mkiingilia uchaguzi fifa inapiga kitanzi

Si ndiyo hapo mkuu, ukurupukaji tu na kujifanya wajuaji - FIFA itawapiga pini wakose pa kutokea, FIFA hawaruhusu mambo ambayo ni too chaotic, who needs changing leadership like bolts in a machine, na ukichunguza ugomvi,majungu na fitina vinasabishwa na nini utakuta ni ulaji tu sio kuendeleza mpira.

TFF inachukuliwa kama ni kichaka cha watu kutokea kimaisha - wote wanao wania nafasi ya TFF akili zao zote ziko huko huko ndiyo maana wanapigana vita vya kufa na kupona, mara huyu kamuwekea pingamizi fulani yule, mara huyu kaiba sijui nini yaani vurugu tupu, mimi naona kukomesha ujinga huu Wizara ndiyo iwe inahusika kuajiri Viongozi wa TFF, tukishindwa kutumia mbinu hizo Watanzania masuala ya mipira tutakua tunayasikia kwenye luninga za Ulaya.
 
mkuu wale vijana wa serengeti boys hawajapewa stahiki zao mpaka leo
Angalia yule nahodha anajitibia mwenyewe mguu ambao kaumia akiwa na timu ya Taifa
nilimsikia mwesiga anasema zile pesa walienda kulipia deni wanalodaiwa na TRA ,ndiyo maana hawakuwapa stahiki zao wachezaji
Stahiki zao kama?
 
ndugu amini usiamini hakuna uchaguzi ,naona kabisa hii tume ya uchaguzi TFF ilipangwa uwabebe akina Malinzi,inavyoonesha hawa wajumbe 4 kesho na wao watabandika matokeo yao ya usahili mbali na yale ya mwenyekiti
Mjaribu kuwa rational mnavyokuwa mna argue.Angekuwa Malinzi ana uwezo km Ndolanga, FIFA ingekwisha wagonga nyundo Mwigulu na wenzake TAKUKURU.

TAKUKURU tusiwasifie sana, nao wana hila katika hili na siyo kwamba wana dhamira chanya
 
Mkuu siyo kwamba namtetea Malizi na kundi lake, ninacho tilia shaka ni timing - kwa nini tuhuma hizi zijitokeze kwa kasi kubwa wakati wa maadalizi wa uchanguzi - kwa nini kipindi chote cha Uongozi wa Malizi watu walikuwa wamekaa kimya, sikuwahi kusikia kwamba Polis/Upelelezi au PCCB amekwenda kuhojiwa na taasisi hizo - WHY NOW? Kwa maneno mengine kwa nini wahibuke na tuhuma lukuki at the eleventh HOUR??

Iweje taasisi zetu zizinduke kutoka kwenye usingizi wa pono na kumkaba koo Malizi na kundi lake wakati wakiwa kwenye maadalizi ya uchaguzi, hii kama sio mizengwe tuiteje - tukiendelea kuendesha taasisi ya kuendeleza soka nchini kama vyama vya siasa basi Tanzania itabaki wasindikizaji wa mataifa mengine kimpira - Watanzania majungu, fitina na wivu vimetuzidi sana.
Ww acha porojo kwani tuhuma zinawakati?
Muda wowote ukihisiwa sasa una makosa lazima ukamatwe wakati wowote na mahali popote kujali unafanya nn kwa wakati huo!!
 
Zungumza maneno yenye hekima, lugha zako za vijiweni speaks volume kuhusu tabia zako, labda nikulize swali dogo:Hivi tangu Serikali ya awamu ya kwanza iondoke madarakani unaweza kunipatia takwimu ni lini Tanzania ilifanikiwa kuleta kikombe cha ushindi nchini? Eti kafoji sijui nini ndiyo maana kiwango cha mpira nchini kimeshuka, tangu lina kiwango cha mpira kikapanda nchini - lini? Kiala siku magazeti yamejaa taarifa za infight ndani ya taasisi ya TFF wanagombania ukwapuaji majungu, fitina na tuhuma zisizo kuwa na kichwa wala miguu, nimewahoji tuna uhakika gani kama fedha za FIFA zimeliwa kweli - je wakija FIFA wenyewe wakasema fedha zao zimetumika vizuri nyinyi mtasema nini? Bila shaka mnajua hoja yangu ina mshiko ndiyo maana mnakuja na hoja mbadala eti Malinzi na kundi lake wametumia vibaya michango ya Serengeti, sijui Malinzi na kundi lake wameforge nini - lawama na madai chungu mzima, mnayesema hayo wakati hamjui mahakama itasema nini kuhusu tuhuma hizo.
Hivi mbona ww unatokwa povu zaid hata ya omo unalipwa sh ngapi kuwatetea hawa wezi au ndo miongoni Mwa wajumbe wanaotaka kuharibu uchaguzi?
Kama ni mjumbe nikwambie tu muda wako unahesabika utawafuata wenzio waliko!
 
Back
Top Bottom