Zengwe zito uchaguzi TFF

Yule hakimu upo uzi wake humu JF, ni mla rushwa wa kutukuka !
 
What if ni pango wa kamati nzima waonekane wanavurugana ili malinzi awahi usaili
 
Hivi pesa za tff sio za umma kweli.......
Kwa nn ikibainika watu km malinzi wasipigwe risasi km wafanyavyo China ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia km hiyo
Apigwe mama yako na baba yako mshenzi mkubwa we
 
Kwani uchaguzi mkuu wa 2015 Bw.Malinzi alikuwa upande gani vilee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…