Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo ile inayoninginia?Wajerumani ni level nyingine. niliwahi angalia documentary ya treni inayopita juu upside down waligundua 1990s kama sikosei
Si ndio sasa hivi tunaita air cargo? tofauti design tu?View attachment 1998264
Zeppelin ni meli ndege iliyopewa jina la mbunifu aliyeiunda aliitwa Count Ferdinand von Zeppelin. Zeppelin ilileta mabadiliko makubwa katika usafirishaji wa mizigo kwa njia ya anga.
ndiyo hiyo captSiyo ile inayoninginia?
Ila hili lilikuwa puto nadhaniView attachment 1998264
Zeppelin ni meli ndege iliyopewa jina la mbunifu aliyeiunda aliitwa Count Ferdinand von Zeppelin. Zeppelin ilileta mabadiliko makubwa katika usafirishaji wa mizigo kwa njia ya anga.
Kilikua linatumia gesi inayolipuka,waingereza walipojua walilijegeja Kama Rambo na wavietnam,linawaka chapu,jamaa ndani wanageuka nyama chomaIla hili lilikuwa puto nadhani
Kilikua linatumia gesi inayolipuka,waingereza walipojua walilijegeja Kama Rambo na wavietnam,linawaka chapu,jamaa ndani wanageuka nyama choma
Agenda yao kubwa ilikua ni kuchota mali, madini, meno ya tembo na mbao kutoka Tanganyika ziliitajirisha Ujerumani kwa kipindi kifupi. Uingereza waliwaonea wivu sana.Wajerumani ni next level
Ndio maana wajuvi wa Mambo wanasema isingekuwa WWI ujerumani kuondolewa Tanganyika Basi tungekuwa zaidi ya nnchi Kama south Africa au pakstan
Kwahiyo Leo hatuna maji shule wala barabara,hapo ulipo umesoma shule/kunywa maji/kutembea kwenye barabara zilizo jengwa na sarikali ya tz inayoongozwa na CCM kweli nyumbu ni nyumbu TuAgenda yao kubwa ilikua ni kuchota mali, madini, meno ya tembo na mbao kutoka Tanganyika ziliitajirisha Ujerumani kwa kipindi kifupi. Uingereza waliwaonea wivu sana.
Hata wangekaa sana maeneo ya weusi yasingeendelezwa sana tungekuwa na Soweto kama South Africa. Lakini Mzungu ana utu anapojenga shule hospital anaweka barabara, maji na umeme tofauti na mkoloni CCM.
Uzuri wao Wajerumani wanachapa kazi. Tusingekua na tatizo la ajira kwa vijana.
Kweli kabisa Ukoloni was Wazilungu ulikuwa na nafuu kuliko huu wa sasa!Agenda yao kubwa ilikua ni kuchota mali, madini, meno ya tembo na mbao kutoka Tanganyika ziliitajirisha Ujerumani kwa kipindi kifupi. Uingereza waliwaonea wivu sana.
Hata wangekaa sana maeneo ya weusi yasingeendelezwa sana tungekuwa na Soweto kama South Africa. Lakini Mzungu ana utu anapojenga shule hospital anaweka barabara, maji na umeme tofauti na mkoloni CCM.
Uzuri wao Wajerumani wanachapa kazi. Tusingekua na tatizo la ajira kwa vijana.
Yaani baada ya miaka 60 ,Kuna watito wanakaa chini,Kuna maeneo hayana maji,zahanati Wala Shule...CCM no janga!Kwahiyo Leo hatuna maji shule wala barabara,hapo ulipo umesoma shule/kunywa maji/kutembea kwenye barabara zilizo jengwa na sarikali ya tz inayoongozwa na CCM kweli nyumbu ni nyumbu Tu
Nitajie nchi moja Tu ya Africa ambayo haina upungufu wa hivi vitu ulivyo orodhesha,unazungumzia miaka 60 unaona mingiYaani baada ya miaka 60 ,Kuna watito wanakaa chini,Kuna maeneo hayana maji,zahanati Wala Shule...CCM no janga!
OkMisri