Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu zile hasoling nilizopitia na ndugu yangu magu hataki tukale wote keki ya taifa tena kwa kozi pendwa ya Afya nikaona no sweat wacha nipapambane kitaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijari mkuu mi niko dodoma 24 hours ukija lazima utanikuta kama ukihitaji kuniona Pm ipo.Sina shaka hata mm kukutana na Zero IQ najua ni mwana halakati mwenzangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia Kuna kadem flan nimekatongoza mtandaoni kapo hapoUsijari mkuu mi niko dodoma 24 hours ukija lazima utanikuta kama ukihitaji kuniona Pm ipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu watu wenye busara sana ni malaya![emoji1][emoji1][emoji1]
kwa nini mkuuMada zake huwa nazipitaa tuuu siku hiziii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu watu wenye busara sana ni malaya![emoji1][emoji1][emoji1]
Kanaitwa nani mkuuPia Kuna kadem flan nimekatongoza mtandaoni kapo hapo
Nataka nikavute huku Kwanza nichape
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Nacheka kwa dharau kama ata ID ya Suriya hauijui ni ya mwaka gani?
Kwan mwisho wa kufungua IDs mbili ni mwaka gani? Maana haina connection kabisa.it isnt logical.mwaka na kuwa na IDs mbili kuna uhusiano gani?
Pia tofautisha ata miandiko tu kama kweli we ni great thinker na sio popoma kama GENTAMYCINE(jokes)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijinga hiki KIMETUMIA ID nyingine kujitafutia Kick. Pumbavu kabisa. Shule ikianza kuwa ngumu tutabaki watu wazima tu humu ndani. Au ukienda kusoma english course
Pamoja sana mwamba
Aaha aa mkuu ID mpya nisijua ata kama nina uzi nimeuanzisha nije kujibu maswali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Majukumu mkuu January hii si unajua ukifanya mchezo watoto wanakula nyasi.Mkuu umepotea saana,ndo nakuona leo jukwani
na mm nazitaka hizo chimbo Zero IQ... nakazia hapo wenye churaHakika mkuu ukija tu dodoma nicheki nikupeleke chimbo za mademu wenye chura nicheki PM tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi ilikua GENTAMYCINE, jana pia akaendelezwa GENTAMYCINE. Leo ameamkiwa Zero IQ.
Siku zijazo tutashuhudia mengi yakifuata. [emoji18] [emoji53]