ZEZETA imedhihirisha Rayvanny anabebwa na MISIFA tu na KISMATI. Ni ngoma mbovu balaa

Kazi ya Mondi inaonekana anakuza vipaji. Mwenzake Ali wa Leo yupo Kariakoo anacheza Dhumna hana habari na sanaa.
 
Msukule naona Leo unawageuka maboss zako
 
Pale Madale hakuna yoyote mwenye kipaji cha muziki wote wajanja wajanja tu.

Dimond-kipaji chake kusema hovyo
Harmonise-anamuiga Dimond
Mavoko-Alikuwa zamani siku hizi anapiga kelele
Raymond-alikuja anajitaidi siku hizi hakuna kitu kishaambukizwa ubovu
 
Kazi ya Mondi inaonekana anakuza vipaji. Mwenzake Ali wa Leo yupo Kariakoo anacheza Dhumna hana habari na sanaa.
Analazimisha tu kuinua vipaji lakini hana nguvu hiyo, hata abdu kiba tu kashindwa kumsaidia
 

we mchawi mkuu

kwani anashindana na harmonise?

au yuko mwanamuziki huyo tu, sikiliza wengine

au una mkataba nae? ushamlipa kutoa nyimbo?
 


Mi ni mdau mkubwa sana wa huyu dogo lakini leo nakuunga mkono mtoa mada....Hivi huyu dogo sijui anashauriwaga na nani kabla ya kutoa nyimbo zake...Yaaan zile nyimbo zake nzuri azipi uzito na hazitoi officially.....minyimbo mibaya mibaya ndo anaifanyia media tour.....hii zezeta hamna kitu....yaan kaboronga tuuu,melody mbaya,beat mbayaaaa,video imepoaaaa...yaaan ameimba kizezeta kweli...

Hivi unaachaje kuipa promo na kuirelease officially nyimbo kama Mbeleko?? bora hata ange release nyimbo yake ya 'unaibiwa' kuliko hii ya zezeta, nyimbo mbayaaaaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…