tinkibiruka mhaya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 929
- 794
Ulikuwa umeshikilia keyboard nin maana sio kwa ufasta huo lohNaweza kuanza kupata mademu maana kuniita Harmonize unaweza kuniletea balaa humu
[emoji3][emoji3]Wewe ulikuwa umeshikilia simu pia ?
Sio kila mtu aimbe, wengine wadau tu wa muzikiKuna siku nimeenda studio kwa wanangu pale Kurasini.Basi nikakuta wanasuka beat.
Basi wakanipa mic nijaribu kuingiza mistari ili wajaribu beat yao.....
Ukizingatia mie sio msanii ebana NILIISHIA KUSEMA BABY NAKUPENDAAAAA....
TOKA SIKU HIYO NAHESHIMU SANA WIMBO WA MTU...KUNA KAZI SANA KUTUNGA,KUIMBA NA KUFANYA KAZI YAKO IKUBALIKE.
Japo namkubali sana harmonize kuliko rayvanny
Hapo umedhihirisha live kwamba una chuki binafsiii, kinyagooo!Kinyago toka Mbeya
AtakujaTusubiri
Radi itakayokupiga Bado iko gym inapasha... We ngoja..Habari wadau wa Celebrities !!.
Leo nataka nimzumgumzie huyu msanii ambaye amekuwa akipewa sifa nyiiingi kwamba ana uwezo mkubwa, kwa kumsikiliza leo Ngoma zake zote ukiacha KWETU ni mbovu balaa.
1. SUGU ( Mbovu), ZEZETA ( Mbovu ), & SALOME ( Umeshirikishwa umeimba MATUSI balaa ). Somehow PENZI, SHIKWAMBI na MBELEKO ni ngoma nzuri japo hujazitoa serious.
- Mbona mwenzio HARMONIZE kila akitoa ni NGOMA Kali na ni mtu yuko serious sana ukiona kazi zake
2. AIYOLA, INDE, BADO, NIAMBIE, PENZI, KIDONDA CHANGU, SHOW ME & HAPPY BIRTHDAY - Ngoma zote "HITS"
- Rayvanny kuwa serious tumekuchoka, kwanza huo wimbo wako wa ZEZETA ni mbovu na MELODY utafikiri umetungiwa na BEKA wa YAMOTO BAND, Ngoma mbovu - umebakiza SIFA na MBWEMBWE tu.
Fanya kazi, Sifa unazopewa zimekuharibu. Hauko SERIOUS na unatunga NGOMA Mbaya balaa, Ulivyotoa NATAFUTA KIKI kama ngoma ya ZIMA MOTO ikahit ni kama imekuwa trend sasa ya kufanya ngoma kwa zimamoto. Shiit
Sikiliza wimbo wake unaitwa SUGU Kajiita hivyo ndugu yangu, mimi sina huo muda wa kuchukia mtu, ili nipate faida gani sasa. Kwanza mimi ni shabiki mkubwa sana WCB ndio maana wakinidissappoint naumia sanaHapo umedhihirisha live kwamba una chuki binafsiii, kinyagooo!
Mimi nina sikio la muziki, na hapa ni kama mdau tu ndio maana nikaweza angalizo. Rayvanny ana nyimbo hata 8 tu hajafikisha kaanza kutoa ngoma mbovu ataweza kutunga nyimbo hata 15 kali kweli ?Inaonekana shemeji anapenda sana nyimbo za rayvan hasa zezeta ndio mana umekuja kumpomda huku