ZEZETA imedhihirisha Rayvanny anabebwa na MISIFA tu na KISMATI. Ni ngoma mbovu balaa

ZEZETA imedhihirisha Rayvanny anabebwa na MISIFA tu na KISMATI. Ni ngoma mbovu balaa

Kuna siku nimeenda studio kwa wanangu pale Kurasini.Basi nikakuta wanasuka beat.
Basi wakanipa mic nijaribu kuingiza mistari ili wajaribu beat yao.....
Ukizingatia mie sio msanii ebana NILIISHIA KUSEMA BABY NAKUPENDAAAAA....


TOKA SIKU HIYO NAHESHIMU SANA WIMBO WA MTU...KUNA KAZI SANA KUTUNGA,KUIMBA NA KUFANYA KAZI YAKO IKUBALIKE.

Japo namkubali sana harmonize kuliko rayvanny
 
Kuna siku nimeenda studio kwa wanangu pale Kurasini.Basi nikakuta wanasuka beat.
Basi wakanipa mic nijaribu kuingiza mistari ili wajaribu beat yao.....
Ukizingatia mie sio msanii ebana NILIISHIA KUSEMA BABY NAKUPENDAAAAA....


TOKA SIKU HIYO NAHESHIMU SANA WIMBO WA MTU...KUNA KAZI SANA KUTUNGA,KUIMBA NA KUFANYA KAZI YAKO IKUBALIKE.

Japo namkubali sana harmonize kuliko rayvanny
Sio kila mtu aimbe, wengine wadau tu wa muziki
 
Inaonekana shemeji anapenda sana nyimbo za rayvan hasa zezeta ndio mana umekuja kumpomda huku
 
Habari wadau wa Celebrities !!.

Leo nataka nimzumgumzie huyu msanii ambaye amekuwa akipewa sifa nyiiingi kwamba ana uwezo mkubwa, kwa kumsikiliza leo Ngoma zake zote ukiacha KWETU ni mbovu balaa.

1. SUGU ( Mbovu), ZEZETA ( Mbovu ), & SALOME ( Umeshirikishwa umeimba MATUSI balaa ). Somehow PENZI, SHIKWAMBI na MBELEKO ni ngoma nzuri japo hujazitoa serious.

- Mbona mwenzio HARMONIZE kila akitoa ni NGOMA Kali na ni mtu yuko serious sana ukiona kazi zake

2. AIYOLA, INDE, BADO, NIAMBIE, PENZI, KIDONDA CHANGU, SHOW ME & HAPPY BIRTHDAY - Ngoma zote "HITS"

- Rayvanny kuwa serious tumekuchoka, kwanza huo wimbo wako wa ZEZETA ni mbovu na MELODY utafikiri umetungiwa na BEKA wa YAMOTO BAND, Ngoma mbovu - umebakiza SIFA na MBWEMBWE tu.

Fanya kazi, Sifa unazopewa zimekuharibu. Hauko SERIOUS na unatunga NGOMA Mbaya balaa, Ulivyotoa NATAFUTA KIKI kama ngoma ya ZIMA MOTO ikahit ni kama imekuwa trend sasa ya kufanya ngoma kwa zimamoto. Shiit
Radi itakayokupiga Bado iko gym inapasha... We ngoja..
 
Hapo umedhihirisha live kwamba una chuki binafsiii, kinyagooo!
Sikiliza wimbo wake unaitwa SUGU Kajiita hivyo ndugu yangu, mimi sina huo muda wa kuchukia mtu, ili nipate faida gani sasa. Kwanza mimi ni shabiki mkubwa sana WCB ndio maana wakinidissappoint naumia sana
 
Inaonekana shemeji anapenda sana nyimbo za rayvan hasa zezeta ndio mana umekuja kumpomda huku
Mimi nina sikio la muziki, na hapa ni kama mdau tu ndio maana nikaweza angalizo. Rayvanny ana nyimbo hata 8 tu hajafikisha kaanza kutoa ngoma mbovu ataweza kutunga nyimbo hata 15 kali kweli ?
 
Hii ngoma kali mno,kwenye gari yangu ndio ngoma kuu..km jana hata foleni sikuinotice kabisaa
 
Huyu jamaa mpumbafu sana unaweza kusema rayvann ni mbovu bila kuleta zako tukalinganisha na zake
 
Safar yako ni ndefu sana ad ujue mziki,inaweza kukugharimu hata maisha yako yote
 
Back
Top Bottom