Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?

Baada ya siku 2 jibu lilipatikana😅
 
Uliingizwa chaka na wewe ukaja kuingiza watu chaka.

Wewe unadhani ni kwanini huyo waziri alikudanganya?
 
Sasa sisi tungejulia wapi Bwana Adv Allen?
 
Mabeyo aeleze ukweli.
 
Hii comment wakati naisoma kipindi kile ilinipa moyo sana na tumaini, natamani ingekuwa vile!
Ila ndio aisee! Ila Mungu ni mwema kwa yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…