Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa vijana wa lol iozaliwa enzi za JK taabu tupuacha uongo alimuimbia Princess Diana.
Lete ubuyuKuna jambo halijakaa sawa chamwino!!!! Njooo haraka
Yeye ni raia mwema.Wewe ni nani unayetaka kujua details? kaa kimya
MmhPoleni
Acha kuropokaHuenda kuna kitu kweli hakiko sawa, lisemwalo lipo kama halipo laja.....😓😓
AiseeeeWatu mnajipa matumaini na story za kijinga sana😂 Yaan azunguke Dodoma ili nini?
Kiufupi utoto umekujaa
Haya nimeacha.Acha kuropoka
Umefanya vemaHaya nimeacha.
Nawewe uache kuwapangia watu vitu vya kuandika.Umefanya vema
Heshima yakooWatu mnajipa matumaini na story za kijinga sana[emoji23] Yaan azunguke Dodoma ili nini?
Kiufupi utoto umekujaa
We jamaa unaoteshwa ama?Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
OkayNakusalimia mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Siyo mawaziri tu, kama huna taarifa mimi nimesoma na Magufuli Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Nilikuwa ninakaa Hall One yeye alikuwa Hall Four. Kwa kuanzia hapo unaweza kujua ni mawaziri wangapi ambao ninaweza kuwa nifahamiana nao. Mimi nimeongea waziri mmoja tu ambaye tunatoka sehemu moja, wala halikuwa swala na kujuana na waziri au kiongozi yoyote kwani ninajuana na wengi sana
Haikupangwa hovyo ila kuna shida imetokea