Hajawahi kuongea ukweli wowote. Followers wake ni mazwazwa ndio maana bado wana mfuatilia...Limewaminisha wajinga jion hii kuna taarifa kubwa Leo anafuta acc zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajawahi kuongea ukweli wowote. Followers wake ni mazwazwa ndio maana bado wana mfuatilia...Limewaminisha wajinga jion hii kuna taarifa kubwa Leo anafuta acc zote
Aibu ya karne yaaniNimemfollow leo nimeangalia post zake aisee atapata aibu kubwa jion hii acha tuangalie TV
Wamepanga aaaibike mpango kabambe sanaLimewaminisha wajinga jion hii kuna taarifa kubwa Leo anafuta acc zote
Hyo candle in the wind ni novel au drama?Kama siyo Passed like shadow huenda ni Candle in the wind
Yule hanaga aibu, atapotezea atakuja na lingine na mazwazwa watakuwa bado wanamfuatiliaNimemfollow leo nimeangalia post zake aisee atapata aibu kubwa jion hii acha tuangalie TV
Anakukwwpa wewe na hizo tabia zako. Sijui umejifunzia wapi?Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
acha uongo alimuimbia Princess Diana.Wimbo wa Sir Elton John aliwaimbia hasa mashoga wenzake waliokufa miaka ya 1980s Ukimwi ulipoanza. Yeye alisalimika ila wenzake wengi walipotea, wimbo unatumika sehemu nyingi maana hautaji kundi lolote.
Sorry nilikuwa misinformed, kibongobongo tunaweza sema ni uongo. Source yangu ilinipiga kamba na sikuwahi jua kama siko sahihi.acha uongo alimuimbia Princess Diana.
Haikupangwa hovyo ila kuna shida imetokea
Huenda kuna kitu kweli hakiko sawa, lisemwalo lipo kama halipo laja.....[emoji29][emoji29]
Sema ki ukwel limepata umaarufu likipost ndan ya dk 2 comment 100Hahaa haah itakuwa vyanzo vyake nao wamezingua
Limesha pamba mpaka muundo wa serikal hili jamaa mm nimeliogopa aiseeHajawahi kuongea ukweli wowote. Followers wake ni mazwazwa ndio maana bado wana mfuatilia...
Ndugu yangu mgeni umu huyo John ufahamu kaa ngese la Lumumba.John please my brother sijakuzoea hivyo mengine fanya kukaa kimya tu
Ni kweli, anaishi kwa posho anayopata kwa kuwa na followers wengi kwenye mitandao ya jamii. Wakimtupa mkono atakufa njaa fasta.Hajawahi kuongea ukweli wowote. Followers wake ni mazwazwa ndio maana bado wana mfuatilia...
🤣🤣🤣🤣Mmmhhh jamani
The Late Azory Gwanda na Alfonsi Mawazo pia wanafamilia zilizokuwa zinawategemea. Kilangila.Ukiitwa ulete ushahid unao ndugu mbona watz tunakua roho mbaya kiasi hichi kumbuka nae anafamilia inamtegemea