Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?

Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?

Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.

Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.

Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.

Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.

Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.

Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Anakukwwpa wewe na hizo tabia zako. Sijui umejifunzia wapi?
 
Kunapokuwa na tatizo ni vizuri watu kujua ili waweze kuomba kwa nguvu, nguvu ya maombi inapishana kutokana na uzito wa Jambo, tuliona kwa Mwakyembe na Lissu, watu waliposikia chakula hakikulika, waligalagala na Mungu akasikia.

Kutegemea teknolojia tuu ambayo hata MH mwenyewe haiamini, sijui kama ingeweza kuwaokoa Lissu na Mwakyembe
 
Hajawahi kuongea ukweli wowote. Followers wake ni mazwazwa ndio maana bado wana mfuatilia...
Ni kweli, anaishi kwa posho anayopata kwa kuwa na followers wengi kwenye mitandao ya jamii. Wakimtupa mkono atakufa njaa fasta.
 
Back
Top Bottom