Ziara Maalum ya RC Makalla Kigamboni yabaini eneo la Avic Town na GSM walilopewa Yanga SC lina Mgogoro wa Ardhi

Ziara Maalum ya RC Makalla Kigamboni yabaini eneo la Avic Town na GSM walilopewa Yanga SC lina Mgogoro wa Ardhi

Katika hali isiyokuwa ya Kawaida Wakazi wa Kigamboni mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla wamesema kuwa Mmiliki wa eneo la Avic Town ambako ndiko Klabu ya Yanga kupitia Mdhamini wao GSM amewadhulumu eneo hilo na wanataka Haki itendeke Kwao.

"Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa tunasikitika sana huyu Avic Town amejimilikisha eneo lote hili Kubwa na Kusababisha Watu 234 tukose Maeneo hapa wakati Kisheria ilikuwa ni Haki yetu kutokana na Vikao tulivyokaa huko nyuma na Waziri Lukuvi kwa Maagizo ya Hayati Rais Dkt. Magufuli" alisema Mmoja wa Wazee.

Hata hivyo wakati Mkutano huo wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla na Wakazi wa Kigamboni ukiendelea Mkuu huyo ametaka Maelezo zaidi kutoka Wizarani ya kwanini Mtu Mmoja Avic Town (GSM Wadhamini wakuu wa Yanga SC) wakiwemo wapewe eneo lote hilo peke yao na Wakazi Wengine wenye Haki nalo Kunyimwa.

Mkuu wa Mkoa Amos Makalla hongera sana kwa Kuliibua hili la Avic Town (GSM Wadhamini wakuu wa Yanga SC wakiwemo) na Mimi Mightier nakuomba ulipiganie vilivyo ili Avic Town (GSM na Yanga SC yao) wanyang'anywe, washtakiwe ikiwezekana na waambiwe wakajenge pale pale Mafurikoni Kwao Jangwani panawatosha sana tu.

Haya Avic Town (GSM Wadhamini wakuu wa Yanga SC) Kazi ndiyo Kwanza imeshaanza na taratibu Msukule wenu mliousajili unaanza Kuwaleteeni Nuksi huku Laana ya Kijana Mstaarabu mliomuacha Kiudhalilishaji Juzi kutokea Tanga ikianza Kuwatafuna.

Mkiambiwa nyie ni Matapeli hamtaki.
Avic town ni ya GSM?
 
Sawa,ila ukikaa na kupunguza stress,utaelewa tofauti kubwa iliyopo kati ya Alvic na Avic.
Kwasasa pambana na hali yako Mkuu.

Mchana mwema!!
Kama umeshindwa kunielewa nilipomaanisha Alvic, kamwe huwezi kuwa na akili ya kuelewa hoja.
 
Tatizo umeha ushabiki mbele mpaka unarukwa na akili. Fanya utafiti kabla ya kuropoka. Avic Town si mali ya GSM. Pia usidhani kila anaecomment kukupinga ni mwanayanga
Jamaa kavurugwa na yuko kijijini,yan kwa upeo wake anajua avic town ni lile eneo bashite aliwapa Yanga!achana nae fala yule
 
Amos Makalla ni Simba damu damu, hivyo asije taka kutuonea Yanga sbb kapewa U RC, tena tutamwambia boss wake ambae ni Yanga, awe makini, Amos Makalla aache ushabiki wake wa Simba kutaka kuikandamiza Yanga.
Mo alimtumia bashite kumkandamiza manji,now anatumia nguvu hiyo kumchafua gharib,twitter kule anamtumia kigogo sasa tena kuna kajamaa kanautaka urais ndio kilitumbuliwa na magu baada ya hapo akawa info wa kigogo na wanaharakati wengine,iko kijamaa kiko karibu sana na mo now wanamtumia kigogo kuiongelea negative Yanga na GSM,lakini hata wafanyaje hawawezi zama zishabadilika,huyo makala mkia haswa zaidi ya bashite lkn ubavu wa kumgusa GSM nyakati hizi hana,wanaotumika kumchafua GSM wengine ndio hawa mazwazwa wa humu na kwenye mitandao mingine wamejaa kibao,mo ushindani wa man to man uwa hawezi
 
Na hata aliyekuwa Kocha wenu Mkuu Yanga SC Luc Eymael Raia wa Ubelgiji hakukosea aliposema kuwa wana Yanga SC ni Nyani, Mbwa na Sokwe.

Cc: kakamina
Angalia hapa alichowaita kocha wenu wa zamani patrick auseum 😀

20210904_112249.jpg
 
Yaani hilo Makonda hakuliona aje alione Makalla na porojo zake kwa watu waliopangwa kuongea.

Asilete u Simba wake kwenye masuala ya kisheria. Anaweza kuwa RC atakaye kaa muda mfupi sana awamu ya Samia.
Chalamila ashavunja rekodi yako mkuu
 
Back
Top Bottom