ZIARA : Shaka Kufanya ziara Kwenye daraja Jipya la Wami lenye urefu wa mita 510 lililogharimu TZS 76BL,Je nani kuliwa kichwa?

ZIARA : Shaka Kufanya ziara Kwenye daraja Jipya la Wami lenye urefu wa mita 510 lililogharimu TZS 76BL,Je nani kuliwa kichwa?

CM 1774858

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
5,621
Reaction score
5,029
Nawasalimu kwa jina la JTM,

Ziara za Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka Hamdu Shaka zimekuwa zikiacha vilio kwa wazembe na wapigaji katika maeneo ya miradi mbalimbali hapa chini,

Je, tutarajie pia kesho kunamtu ataliwa kichwa na Katibu huyu wa NEC itikadi &Uenezi wa CCM Taifa anayefuata sera za Utawala bora hasa Utawala wa Sheria?!
IMG-20220917-WA0196.jpg



#Usikokose kesho,
 
Ziara za fisadi shaka zinaweza kumla mtu kichwa kweli? You must not be serious
 
Shaka Hamidu Shaka Namuona Akifika mbali Sana kiuongozi katika nchi hii, Ni kiongozi mwenye kufuatilia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya serikali, Hataki kukaa ofisini kusubiri kusoma ripoti Bali anataka akajionee mwenyewe kazi zinavyoendelea na namna mtanzania anavyo hudumiwa
 
Shaka Hamidu Shaka Namuona Akifika mbali Sana kiuongozi katika nchi hii, Ni kiongozi mwenye kufuatilia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya serikali, Hataki kukaa ofisini kusubiri kusoma ripoti Bali anataka akajionee mwenyewe kazi zinavyoendelea na namna mtanzania anavyo hudumiwa
ID yako ina kasoro kubwa sana ya kisarufi, kiuandishi na kiaiba!

Na mimi nina dhiki, nijuze walipwaje ili ikinifaa tuunge juhudi kusifia ujinga na kufungua nyuzi za kipuuzi.
 
Njoo nikupe jembe uingie shambani ukafanye hata vibarua kupata ridhiki yako
ID yako ina kasoro kubwa sana ya kisarufi, kiuandishi na kiaiba!

Na mimi nina dhiki, nijuze walipwaje ili ikinifaa tuunge juhudi kusifia ujinga na kufungua nyuzi za kipuuzi.
 
ID yako ina kasoro kubwa sana ya kisarufi, kiuandishi na kiaiba!

Na mimi nina dhiki, nijuze walipwaje ili ikinifaa tuunge juhudi kusifia ujinga na kufungua nyuzi za kipuuzi.
Njoo tu utatafutiwa mashamba ya kulima
 
Nawasalimu kwa jina la JTM,

Ziara za Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi wa CCM Taifa ndugu Shaka Hamdu Shaka zimekuwa zikiacha vilio kwa wazembe na wapigaji katika maeneo ya miradi mbalimbali hapa chini,

Je, tutarajie pia kesho kunamtu ataliwa kichwa na Katibu huyu wa NEC itikadi &Uenezi wa CCM Taifa anayefuata sera za Utawala bora hasa Utawala wa Sheria?!
View attachment 2359994


#Usikokose kesho,
Yaani anatoa taarifa hizi huyu mama Naye muongo hebu jisikizie maelezo yake Kuna sehemu hayana ukweli.
Kujieleza nako shida?
 
Back
Top Bottom