Uchaguzi 2020 Ziara ya Dkt. Magufuli Kilimanjaro imebeba ajenda za msingi

Uchaguzi 2020 Ziara ya Dkt. Magufuli Kilimanjaro imebeba ajenda za msingi

Duh!! Kwaio saivi ni mwendo wa kutishana tu
 
..hukunisoma vizuri.

..ngoja nikupe mfano ktk demokrasia zilizoendelea.

..Kunaweza kuwa na mswada au sheria ambayo inahitaji kupigiwa kura na wabunge.

..Sasa Raisi na Serikali lazima washawishi idadi ya kutosha ya wabunge ili mswada au sheria ipite.

..Wabunge nao wanachomeka mambo / miradi yao kwamba ili wapitishe mswada basi wanahitaji kitu[mradi...] fulani toka serikalini / kwa Raisi.

..Ili hilo litokee ni lazima kuwe na mfumo wa utawala ambao umetenganishe mihimili ya Mahakama, Bunge, na Serikali.

..Mfumo wa utawala ambapo wananchi waliochagua chama cha upinzani wanakuwa watazamaji, au wanapata "makombo", ktk miradi ya maendeleo siyo mzuri, na ni wa KIBAGUZI.
Nilikusoma sana mkuu... umeeleza vizuri kabisa na jibu lipo katika maelezo yako...

Kwani serikali haijawai omba support kutoka pande zote kupitisha muswada? Wapinzani wangeweza kutumia upenyo huo kupenyeza miradi yao lakini matokeo yake wanapinga kila mswada
 
KILIMANJARO Yaani kwa maana ya Moshi Mjini wameshtuka hawataki kutumika tena
Moshi sio wajinga unavyofikiri.

Tulitaka tuwe nchi huru kama hujui.

Wananchi tulijenga Hospitali ya Mawenzi bila serikali.

Tulijenga chuo cha ushirika bila hata senti ya serikali.

Tulijenga Hotel kubwa, Kilimanjaro Coffee Tree Hotel.

Vunjo tumetandaza lami kwa pesa zetu.

Wachagga sio wajinga kama unavyofikiri.

Ndio mkoa pekee wenye shule nyingi kuliko popote Tz.

Kwakifupi Tunajielewa.

Subiri 28 Oct.
 
Chagua lissu kwa ili uwe huru,upate haki pamoja na maendeleo
Hiki ulichokiandika kipo Chadema,au umerukwa akili?. Chama cha Mbowe cha mfukoni, ambacho hata ofisi hamna huku mna ruzuku, michango ya wabunge 1.5Mil, anakula mwenyekiti pekee ndio upunguani gani?.
 
Ni Kweli walevi na wanaipigania ushoga Kama LISSU Ni hatari.....Mbaya zaidi unaongelea jina la mtu na si uhalisia wa walevi na wasanii Kama LISSU
Katafute waswahili wa darasa la saba uwaambie ujinga huo sio sisi Wasomi
 
Hiki ulichokiandika kipo Chadema,au umerukwa akili?. Chama cha Mbowe cha mfukoni, ambacho hata ofisi hamna huku mna ruzuku, michango ya wabunge 1.5Mil, anakula mwenyekiti pekee ndio upunguani gani?.
[emoji1][emoji1] Unaijua VIETEE wewe?
 
Nilikusoma sana mkuu... umeeleza vizuri kabisa na jibu lipo katika maelezo yako...

Kwani serikali haijawai omba support kutoka pande zote kupitisha muswada? Wapinzani wangeweza kutumia upenyo huo kupenyeza miradi yao lakini matokeo yake wanapinga kila mswada

..nadhani mentality ya wanasiasa wetu haiko vizuri.

..pia mfumo wetu wa utawala na uongozi haukujengwa kwa namna ambayo Raisi na Wabunge wataheshimiana, na kutegemeana.

..usifikiri hujuma dhidi ya wabunge zimeanza baada ya mfumo wa vyama vingi kuja. Hujuma zilikuwepo hata wakati wa mfumo wa chama kimoja.

..Wako wabunge walitengwa, na majimbo yao kunyimwa maendeleo, kwasababu tu mbunge alikuwa haivi na wakubwa waliokuwa serikalini.
 
Ole Mushi ... ki Mollel-Molleli hivi kama yule wa Siha kunapelekea hisia za undugu kinasaba! Congenital thickness is an inheritance.
 
Huyu mgombea wa ccm ni mbaguzi. Na kutokana na chuki zake binafsi tu dhidi ya wachaga amewatumbua sana wachaga ktk kipindi chake Cha miaka 5.

Na huku tulijiqpiza tangu Xmas ya kwanza tulipo mgundua kuwa ana chuki nasi kuwa tutamuadhibu!!!
jpm vivah
JamiiForums-555989985.jpg
 
..nadhani mentality ya wanasiasa wetu haiko vizuri.

..pia mfumo wetu wa utawala na uongozi haukujengwa kwa namna ambayo Raisi na Wabunge wataheshimiana, na kutegemeana.

..usifikiri hujuma dhidi ya wabunge zimeanza baada ya mfumo wa vyama vingi kuja. Hujuma zilikuwepo hata wakati wa mfumo wa chama kimoja.

..Wako wabunge walitengwa, na majimbo yao kunyimwa maendeleo, kwasababu tu mbunge alikuwa haivi na wakubwa waliokuwa serikalini.
Trust me hio hata nchi zilizoendelea ipo ila viwango tu inapishana... ila turudi kwenye general view unadhani serikali inafurahi kuona miswada yote inapitishwa kwa kelele za upinzani kuwasemea mabaya kwa wananchi, je wangeonyesha kuunga mkono hoja miswada kadhaa na kutumia fursa kuombea kitu in return unadhani ingekuwaje, sasa hapa wapinzani mswada tu wanakutishia Waziri ujiuzulu au utumbiliwe huwezi pata urafiki namna hio
 
Trust me hio hata nchi zilizoendelea ipo ila viwango tu inapishana... ila turudi kwenye general view unadhani serikali inafurahi kuona miswada yote inapitishwa kwa kelele za upinzani kuwasemea mabaya kwa wananchi, je wangeonyesha kuunga mkono hoja miswada kadhaa na kutumia fursa kuombea kitu in return unadhani ingekuwaje, sasa hapa wapinzani mswada tu wanakutishia Waziri ujiuzulu au utumbiliwe huwezi pata urafiki namna hio

..kila upande una lawama zake kwa upande wa pili.

..kwa mfano, unadhani wapinzani wanafurahia mwenzao kucharangwa marisasi ktk eneo la serikali, halafu kunyimwa matibabu, na kubezwa, na wateule wa serikali na chama tawala?

..au, unadhani wapinzani wanafurahia kiongozi wao kufurumushwa na marisasi ya moto na kupelekea kifo cha mwanafunzi Aquilina kuuwawa?

..kuna mambo ya hovyo sana yanatokea na kila upande una lawama zake kwa upande mwingine.

..Binafsi nitapenda kusikia unapendekeza nini kifanyike ili kuondoa mahusiano mabaya kati ya chama tawala, na vyama mbadala.

..Mimi napendekeza tuanze na UCHAGUZI ulio wa HAKI-BIN-HAKI.
 
Sijawahi kuona ngome ya chama cha Mbowe imetikiswa kiasi hiki. Kuanzia Himo, Uchira, Kiboroloni mpaka ushirika hao watu sijawahi kuwaona. Chadema ilikuwa marehemu Ndesa, huyu mzee aliwatesa CCM hasa leo hii Chadema imekuwa ndembendembe kabisa. Watu wa Kilimanjaro hatimaye watakuwa huru, kutoka utumwani chini ya chama cha Mbowe kuanzia Oct 28. Kwa style hii, kawe, Mbeya, Arusha, zishatwaliwa. Saccos bye bye.
 
Acha uongo.

Pindi Lissu anatoka Rombo, alisimamishwa Marangu, wamama walikuwa na Masale barabarani.

Mbowe hai kakarbishwa na masale mara nyingi sana.

Sijui hizi bongo zenu zikiwa Lumumba huwa zipoje, Duh!
Upinzani wa kujidanganya hautusaidii, kuna mambo lazima tukubali ili tufanye mabadiliko ya kweli yakuchukua nchi.

Yeyote yule mwenye sikio hata liwe moja Kilimanjaro anajua safari hii kitu gani kinaenda kutokea. Labda ushindi wa kupiga kura JF na kushinda, hali imebadilika.

Na hakuna suala la kuibiwa kura labda hayo maneno wawaambie watu wa maeneo mengine lakini kumetolewa polical statement nzito sana leo Moshi.
 
Ni ziara iliyobeba Maono Ya WanaMoshi, WanaMoshi wameamua wameona wamebaki wanachezea Jimbo Lao na mkoa Wao kwa Mambo ya wasanii na Matapeli wa Siasa, Wafanyabiashara wa Siasa wamekuwa wanawatapeli Watu wa Moshi Ohh NCCR mali ya Wachaga, Mara TLP mali Ya wachaga, Mara Chadema is Chagga Development Manifesto na Wachaga wakiamini .....Lakini Leo Wamwambia ukweli Kuwa Maendeleo Ni Connection na si Sanaa....... Mkutano wa leo ulikuwa wa Kihistoria since 1995 haijawahi kutokea Mgombea wa chama Chochote akapokelewa kwa Heshima Kama JPM.
Lakini ndiyo mmoja kati ya mikoa iliyopiga hatua kubwa kimaendelea ukilinganisha na ile iliyong'ang'ania CCM k.v Tabora, Dodoma, Pwani nk..
 
Kwa Tanzania ni tofauti na unachoandika sehemu walizochagua upinzani ndo nguvu zote za maendeleo zinahamishiwa huko mpaka kazi za mbunge na diwani wa upinzani zinafanywa na serikali ili kuwavuta wananchi kwa issue za maendeleo za Kilimanjaro kusimama ni matajiri wakubwa kuyumba kiuchumi maana ndo walikuwa wanapeleka wenyewe maendeleo tofauti na sehemu zingine achana na huyo Kimei mbinafsi anayejilimbikizia Mali peke yake hata sijui wanamshabikia nini? Ngoja apate huo ubunge watajuta hata Bora wangempa Mrema anayewajua kwenye shida na raha.
 
Ziara ya CCM Kilimanjaro imebeba ajenda za kijinga huwezi kujenga Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Vichakani wakati wenyeji hata Maji ya kunywa hawana
 
Back
Top Bottom