Uchaguzi 2020 Ziara ya Dkt. Magufuli Kilimanjaro imebeba ajenda za msingi

Uchaguzi 2020 Ziara ya Dkt. Magufuli Kilimanjaro imebeba ajenda za msingi

Nina heshimu sana hoja iliyotolewa, ijapokuwa kwa uelewa wangu wa kawaida tu juu ya jamii za Wachagga, ni nadra sana kukuta majani ya aina ya "masale" kutumika ktk shughuli za kisiasa tena yakimhusisha mtu asiyekuwa wa kabila lao. Majani haya hutumika ktk shughuli zao za kiutamaduni tu.

Wewe chunguza, hakuna mbunge yeyote yule ktk majimbo yote ya Kilimanjaro ambaye amewahi kufanyiwa mapokezi kwa kutumia majani ya mmea huu. Kwa wale wenye ueelewa juu wa watu wa jamii hii, watatambua tu kwa vyovyote tukio hilo litakuwa limeratibiwa na "vyasaka" ili tu kuweza kumfurahisha "chasaka".
Kwani hayo masale si yamebebwa na wanaccm? Nyie vipi?
 
Sina la kusema hapa. Ila kili people are smart.

Kama kweli wamemuamini tutarajie maajabu.

Ila pia hao watu wa Kilimanjaro Ni wagumu kukuamini mpaka uthibitisho wewe Ni Wa kuaminika. Sasa Kama Magu kafanya mambo ambayo wananchi( wa Kilimanjaro) wamuamini ) Basi atapata Kura zao.

Vinginevyo atarajie maumivu.
 
Ndio mnasema tuchague tuwapeni hadhi ya jiji? Its too late ingekuwa maendeleo hayana chama lingeshakuwa jiji long time.
 
Mabus yalibeba watu toka Arusha, Upareni na kwingineko. Moshi mjini biashara zilikuwa ninaendelea kama kawaida kama vile hakuna jambo. Lissu maduka yalifungwa na uwanja ilikuwa nyomi. Leo mabus lakini uwanja haukujaa na wengine walienda kuona wasanii. Kuna shemeji zangu walifuata watu Vijijini na Hiace.
 
Na Thadei Ole Mushi.

Watu wa Kilimanjaro sio wajinga kiasi hicho, watamchagua Rais Magufuli kwa Kura nyingi Sana kuliko wagombea wengine wa uraisi. Twende sawa na agenda zetu....

1. Kilimanjaro ina makabila mawili makubwa, Wachaga na wapare. Kwa silka ya makabila haya yapo profit oriented. Makabila haya haswa wachaga ni opportunist in nature.

Kuwa opportunist sio kosa au kitu kibaya kwa Kiingereza wanaelezewa watu wenye tabia hiyo kuwa huwa kila fursa inayojitokeza mahali huwa inatumika effectively ( *Opportunists are people who see a chance to gain some advantage from a situation,an opportunist seizes every opportunity to improve things for himself* )

Ndio maana wanakuambia kuwa ukiona mahali hayupo mchaga ondoka hakuna fursa Wala fedha.

Mwaka 2015 kwa jinsi Hali ya Mambo yakivyokuwa waliona kabisa kuwa Edward Lowassa atakuwa Rais, wakaamua kuside nao ili mambo yao yaende. Baada ya Uchaguzi hawakuamini kilichotokea.

2020 wanajua wazi kuwa uelekeo upo wapi leo kuanzia Mwanga Hadi Moshi mjini km 80.7 watu walisimama na majani ya Masale Kumpokea Rais Magufuli akitokea Same mkoani Kilimanjaro alikofanya mkutano Jana.

Kitendo hicho kimemgusa Sana Rais Magufuli na kwenye hotuba yake amerudia zaidi ya Mara 20 kuwa hakuwahi kupata Mapokezi makubwa kiasi hiki popote na haswa Mkoa wa Kilimanjaro.

Jani la *Isale* Lina maana nyingi lakini maana kubwa zaidi hutumika kumpokea mtu mwenye heshima na kuomba msamaha kwa watu waliokoseana. Kiutamaduni wa Kabila letu ukiombwa msamaha na Jani Hilo huna budi kuutoa msamaha huo. Rais Magufuli kalizungumzia Jani Hilo Mkoani hapa Kilimanjaro. Na amesema amesameheana na watu wa Kilimanjaro kwa makosa waliofanyiana mwaka 2015.

2. *Win win situation* nimeielezea Sana. Mara nyingi Rais Magufuli anasema kwenye Kampeni zake nichague nikuletee maendeleo. Hili halifichi huwa analisema hadharani. Mkoa wa Kilimanjaro una agenda nyingi ambazo zinatakiwa ziende ambazo zimekuwa haziendi.

Tuna Mambo makubwa matatu ambayo bila kura za kutosha tutaweza kuchelewa Sana kuvipata. Moja Moshi kupata hadhi ya Jiji. Hakuna mtu asiyejua faida za Jiji. Kihistoria Moshi ni mojawapo ya miji mikongwe Sana, kutanguliwa na Miji mingine kuwa Jiji ni aibu kubwa. Moshi ina Vigezo vyote kuwa Jiji. Watu wa kupush hili ni Mbunge anayeweza kufanya lobbying. Ni Dhahiri tukitaka huu mji uwe Jiji hata Kesho kutwa ni kuichagua CCM tu.

Jambo la Pili kubwa lipo Jimbo la Vunjo ambalo wanahitaji Sana kuwa na Halmashauri yao. Rais Magufuli kalizungunzia hili Sana. Hapa panahitaji political will yaani maamuzi ya kisiasa. Vunjo ikipata Halmashauri itarahisisha kujiletea maendeleo kwa haraka sana. Mji Mdogo wa njia panda unakua kwa haraka sana Kama Vunjo ikifanikiwa kujinasua Moshi Vijijini itaharakisha sana maendeleo ya eneo hili.

Jambo la tatu Kuna issue ya Barabara ambazo kwa muda mrefu wabunge wa Upinzani wameshindwa kufanya lobbying ya kukamilishwa kwake. Barabara zote za Old Moshi, Barabara ya Mabogini ambayo ni Kero Sana eneo hilo. Rais Magufuli kaizungumzia Barabara hii. Nani anayeweza kupishana na bahati hii?

3. Mkoa wa Kilimanjaro niliwahi kusema umebeba Mzigo wa Misumari. Gunia lenyewe ni kuwa Jamvi la Wapinzani. Yaani Wapinzani wamekuwa wakitaka kwenda Bungeni lazima wapitie Kilimanjaro. Kwangu Mimi ninavyoona Upinzani umedumaza Sana maendeleo ya Kilimanjaro.

Kudumaza maendeleo sio kwamba maendeleo hayapo Bali yapo Ila yaliletwa na watu wengine na sio Wapinzani. Tulipo tumesimama hatuendelei mbele matokeo yake tunaanza kupitwa kimaendeleo. Mkoa wa Kilimanjaro haupaswi kuwa Kama ulivyo. Hata Rais Magufuli kasema Mkoa wa Kilimanjaro unajichelewesha wenyewe. Kwa nature ya Wapinzani wa Taifa hili si watu wa round table si watu wa kufanya Lobbying ni watu wa kupinga kila kitu. Mkoa wa Kilimanjaro mwaka huu watajitua gunia hili la Misumari libebwe Tena na Singida au Mbeya. Hatuhitaji wabunge wakupinga tu, tunahitaji wabunge wanaoweza kufanya lobbying ya kumfuata rais Ikulu na kumuomba maendeleo ya maeneo yetu.

Wabunge wetu wamekuwa wakitumia nafasi zao za kibunge kujenga mahekalu ya nyumba nyumbani kwao huku wananchi wakibakia kupanua vidole tu. We need to change this kwa miaka Mitano tu.

4. Pamoja na Mambo Mengine leo Jambo la kufurahisha zaidi ni Askofu Mkuu KKKT kutokea kwenye Uwanja Leo na kufanya Sala ya kuombea Taifa.

Askofu Mkuu wa KKKT Dr Fredrick Shoo ni mojawapo ya watu wenye influence Sana kisiasa Mkoa Kilimanjaro.

Dr Shoo kwa namna Moja au nyingine amekuwa ana misimamo mikali Sana kuhusu Siasa za Tanzania Ila Kitendo Cha yeye kuwepo Kwenye mkutano leo wachambuzi wa Mambo ya kisiasa wamelitafsiri tofauti Sana na ni kiashiria Cha Rais Magufuli kukubalika na Makundi yote hata wale wenye msimamo mkali.

Rias bado anaendelea na Mikutano Mkoani Kilimanjaro. Tuendelee kulijadili Mkoa wetu na mustakabali wa maendeleo yetu. Kwa kichaga Kuna msemo usemao Mangi akikutembelea ndio wakati wa kumueleza shida za eneo husika. Kilimanjaro na Magufuli....

Ole Mushi

0712702602
moshi na arusha ni kona za chadema, skuamini mapokezi aliyopata, nadhan ataelekea na arusha pia
 
Moshi sio wajinga unavyofikiri.

Tulitaka tuwe nchi huru kama hujui.

Wananchi tulijenga Hospitali ya Mawenzi bila serikali.

Tulijenga chuo cha ushirika bila hata senti ya serikali.

Tulijenga Hotel kubwa, Kilimanjaro Coffee Tree Hotel.

Vunjo tumetandaza lami kwa pesa zetu.

Wachagga sio wajinga kama unavyofikiri.

Ndio mkoa pekee wenye shule nyingi kuliko popote Tz.

Kwakifupi Tunajielewa.

Subiri 28 Oct.

Tuna sifia kiasi na chumvi tunaweka. Cha ukweli ni kimoja tuu coffee tree labda kidogo shule ila zinaendeshwa na serikali, vingine sio kweli.
 
Na Thadei Ole Mushi.

Watu wa Kilimanjaro sio wajinga kiasi hicho, watamchagua Rais Magufuli kwa Kura nyingi Sana kuliko wagombea wengine wa uraisi. Twende sawa na agenda zetu....

1. Kilimanjaro ina makabila mawili makubwa, Wachaga na wapare. Kwa silka ya makabila haya yapo profit oriented. Makabila haya haswa wachaga ni opportunist in nature.

Kuwa opportunist sio kosa au kitu kibaya kwa Kiingereza wanaelezewa watu wenye tabia hiyo kuwa huwa kila fursa inayojitokeza mahali huwa inatumika effectively ( *Opportunists are people who see a chance to gain some advantage from a situation,an opportunist seizes every opportunity to improve things for himself* )

Ndio maana wanakuambia kuwa ukiona mahali hayupo mchaga ondoka hakuna fursa Wala fedha.

Mwaka 2015 kwa jinsi Hali ya Mambo yakivyokuwa waliona kabisa kuwa Edward Lowassa atakuwa Rais, wakaamua kuside nao ili mambo yao yaende. Baada ya Uchaguzi hawakuamini kilichotokea.

2020 wanajua wazi kuwa uelekeo upo wapi leo kuanzia Mwanga Hadi Moshi mjini km 80.7 watu walisimama na majani ya Masale Kumpokea Rais Magufuli akitokea Same mkoani Kilimanjaro alikofanya mkutano Jana.

Kitendo hicho kimemgusa Sana Rais Magufuli na kwenye hotuba yake amerudia zaidi ya Mara 20 kuwa hakuwahi kupata Mapokezi makubwa kiasi hiki popote na haswa Mkoa wa Kilimanjaro.

Jani la *Isale* Lina maana nyingi lakini maana kubwa zaidi hutumika kumpokea mtu mwenye heshima na kuomba msamaha kwa watu waliokoseana. Kiutamaduni wa Kabila letu ukiombwa msamaha na Jani Hilo huna budi kuutoa msamaha huo. Rais Magufuli kalizungumzia Jani Hilo Mkoani hapa Kilimanjaro. Na amesema amesameheana na watu wa Kilimanjaro kwa makosa waliofanyiana mwaka 2015.

2. *Win win situation* nimeielezea Sana. Mara nyingi Rais Magufuli anasema kwenye Kampeni zake nichague nikuletee maendeleo. Hili halifichi huwa analisema hadharani. Mkoa wa Kilimanjaro una agenda nyingi ambazo zinatakiwa ziende ambazo zimekuwa haziendi.

Tuna Mambo makubwa matatu ambayo bila kura za kutosha tutaweza kuchelewa Sana kuvipata. Moja Moshi kupata hadhi ya Jiji. Hakuna mtu asiyejua faida za Jiji. Kihistoria Moshi ni mojawapo ya miji mikongwe Sana, kutanguliwa na Miji mingine kuwa Jiji ni aibu kubwa. Moshi ina Vigezo vyote kuwa Jiji. Watu wa kupush hili ni Mbunge anayeweza kufanya lobbying. Ni Dhahiri tukitaka huu mji uwe Jiji hata Kesho kutwa ni kuichagua CCM tu.

Jambo la Pili kubwa lipo Jimbo la Vunjo ambalo wanahitaji Sana kuwa na Halmashauri yao. Rais Magufuli kalizungunzia hili Sana. Hapa panahitaji political will yaani maamuzi ya kisiasa. Vunjo ikipata Halmashauri itarahisisha kujiletea maendeleo kwa haraka sana. Mji Mdogo wa njia panda unakua kwa haraka sana Kama Vunjo ikifanikiwa kujinasua Moshi Vijijini itaharakisha sana maendeleo ya eneo hili.

Jambo la tatu Kuna issue ya Barabara ambazo kwa muda mrefu wabunge wa Upinzani wameshindwa kufanya lobbying ya kukamilishwa kwake. Barabara zote za Old Moshi, Barabara ya Mabogini ambayo ni Kero Sana eneo hilo. Rais Magufuli kaizungumzia Barabara hii. Nani anayeweza kupishana na bahati hii?

3. Mkoa wa Kilimanjaro niliwahi kusema umebeba Mzigo wa Misumari. Gunia lenyewe ni kuwa Jamvi la Wapinzani. Yaani Wapinzani wamekuwa wakitaka kwenda Bungeni lazima wapitie Kilimanjaro. Kwangu Mimi ninavyoona Upinzani umedumaza Sana maendeleo ya Kilimanjaro.

Kudumaza maendeleo sio kwamba maendeleo hayapo Bali yapo Ila yaliletwa na watu wengine na sio Wapinzani. Tulipo tumesimama hatuendelei mbele matokeo yake tunaanza kupitwa kimaendeleo. Mkoa wa Kilimanjaro haupaswi kuwa Kama ulivyo. Hata Rais Magufuli kasema Mkoa wa Kilimanjaro unajichelewesha wenyewe. Kwa nature ya Wapinzani wa Taifa hili si watu wa round table si watu wa kufanya Lobbying ni watu wa kupinga kila kitu. Mkoa wa Kilimanjaro mwaka huu watajitua gunia hili la Misumari libebwe Tena na Singida au Mbeya. Hatuhitaji wabunge wakupinga tu, tunahitaji wabunge wanaoweza kufanya lobbying ya kumfuata rais Ikulu na kumuomba maendeleo ya maeneo yetu.

Wabunge wetu wamekuwa wakitumia nafasi zao za kibunge kujenga mahekalu ya nyumba nyumbani kwao huku wananchi wakibakia kupanua vidole tu. We need to change this kwa miaka Mitano tu.

4. Pamoja na Mambo Mengine leo Jambo la kufurahisha zaidi ni Askofu Mkuu KKKT kutokea kwenye Uwanja Leo na kufanya Sala ya kuombea Taifa.

Askofu Mkuu wa KKKT Dr Fredrick Shoo ni mojawapo ya watu wenye influence Sana kisiasa Mkoa Kilimanjaro.

Dr Shoo kwa namna Moja au nyingine amekuwa ana misimamo mikali Sana kuhusu Siasa za Tanzania Ila Kitendo Cha yeye kuwepo Kwenye mkutano leo wachambuzi wa Mambo ya kisiasa wamelitafsiri tofauti Sana na ni kiashiria Cha Rais Magufuli kukubalika na Makundi yote hata wale wenye msimamo mkali.

Rias bado anaendelea na Mikutano Mkoani Kilimanjaro. Tuendelee kulijadili Mkoa wetu na mustakabali wa maendeleo yetu. Kwa kichaga Kuna msemo usemao Mangi akikutembelea ndio wakati wa kumueleza shida za eneo husika. Kilimanjaro na Magufuli....

Ole Mushi

0712702602

Moshi wanapewa gari moshi mwanza wanapewa reli ya umeme. Chato wamejengewa uwanja wa taifa wakati KIA ambayo inaleta watalii 99% na zaidi ya $2B kwa nchi uwanja haujafanyiwa matengenezo
 
Sale linatumika kuomba msamaha pale mkosaji akiwa na wasuluhishi anapoenda kwa mkosewaji na kupeana jani la sale kama ombi la msamaha, kwa hali ya jana wananchi hawakumaanisha msamaha kama huyo jamaa alivyodhani.bali kama ulivyosema sale pia humpokea mtu maarufu, ila zaidi hata ktk shughuli ya sherehe hutumika, na hata misiba.

Jee hivi sale likiwekwa kwenye gari ya maiti nayo ni kuomb msamaha au hyo maiti ni maarufu?
Hapana.
Naomba tafsiri alotoa jamaa ipingwe vikali na ni mara ya pili amerudia, mara ya kwanza alienda hai akasema hivyohivyo.
Kama anadhani wachaga walimkosea basi ndo maana aliwavunjia nyumba zao kimara kwenda mbezi.Huyu hafai kwani kwa kukosewa alilipiza kisasi.
Na Thadei Ole Mushi.

Watu wa Kilimanjaro sio wajinga kiasi hicho, watamchagua Rais Magufuli kwa Kura nyingi Sana kuliko wagombea wengine wa uraisi. Twende sawa na agenda zetu....

1. Kilimanjaro ina makabila mawili makubwa, Wachaga na wapare. Kwa silka ya makabila haya yapo profit oriented. Makabila haya haswa wachaga ni opportunist in nature.

Kuwa opportunist sio kosa au kitu kibaya kwa Kiingereza wanaelezewa watu wenye tabia hiyo kuwa huwa kila fursa inayojitokeza mahali huwa inatumika effectively ( *Opportunists are people who see a chance to gain some advantage from a situation,an opportunist seizes every opportunity to improve things for himself* )

Ndio maana wanakuambia kuwa ukiona mahali hayupo mchaga ondoka hakuna fursa Wala fedha.

Mwaka 2015 kwa jinsi Hali ya Mambo yakivyokuwa waliona kabisa kuwa Edward Lowassa atakuwa Rais, wakaamua kuside nao ili mambo yao yaende. Baada ya Uchaguzi hawakuamini kilichotokea.

2020 wanajua wazi kuwa uelekeo upo wapi leo kuanzia Mwanga Hadi Moshi mjini km 80.7 watu walisimama na majani ya Masale Kumpokea Rais Magufuli akitokea Same mkoani Kilimanjaro alikofanya mkutano Jana.

Kitendo hicho kimemgusa Sana Rais Magufuli na kwenye hotuba yake amerudia zaidi ya Mara 20 kuwa hakuwahi kupata Mapokezi makubwa kiasi hiki popote na haswa Mkoa wa Kilimanjaro.

Jani la *Isale* Lina maana nyingi lakini maana kubwa zaidi hutumika kumpokea mtu mwenye heshima na kuomba msamaha kwa watu waliokoseana. Kiutamaduni wa Kabila letu ukiombwa msamaha na Jani Hilo huna budi kuutoa msamaha huo. Rais Magufuli kalizungumzia Jani Hilo Mkoani hapa Kilimanjaro. Na amesema amesameheana na watu wa Kilimanjaro kwa makosa waliofanyiana mwaka 2015.

2. *Win win situation* nimeielezea Sana. Mara nyingi Rais Magufuli anasema kwenye Kampeni zake nichague nikuletee maendeleo. Hili halifichi huwa analisema hadharani. Mkoa wa Kilimanjaro una agenda nyingi ambazo zinatakiwa ziende ambazo zimekuwa haziendi.

Tuna Mambo makubwa matatu ambayo bila kura za kutosha tutaweza kuchelewa Sana kuvipata. Moja Moshi kupata hadhi ya Jiji. Hakuna mtu asiyejua faida za Jiji. Kihistoria Moshi ni mojawapo ya miji mikongwe Sana, kutanguliwa na Miji mingine kuwa Jiji ni aibu kubwa. Moshi ina Vigezo vyote kuwa Jiji. Watu wa kupush hili ni Mbunge anayeweza kufanya lobbying. Ni Dhahiri tukitaka huu mji uwe Jiji hata Kesho kutwa ni kuichagua CCM tu.

Jambo la Pili kubwa lipo Jimbo la Vunjo ambalo wanahitaji Sana kuwa na Halmashauri yao. Rais Magufuli kalizungunzia hili Sana. Hapa panahitaji political will yaani maamuzi ya kisiasa. Vunjo ikipata Halmashauri itarahisisha kujiletea maendeleo kwa haraka sana. Mji Mdogo wa njia panda unakua kwa haraka sana Kama Vunjo ikifanikiwa kujinasua Moshi Vijijini itaharakisha sana maendeleo ya eneo hili.

Jambo la tatu Kuna issue ya Barabara ambazo kwa muda mrefu wabunge wa Upinzani wameshindwa kufanya lobbying ya kukamilishwa kwake. Barabara zote za Old Moshi, Barabara ya Mabogini ambayo ni Kero Sana eneo hilo. Rais Magufuli kaizungumzia Barabara hii. Nani anayeweza kupishana na bahati hii?

3. Mkoa wa Kilimanjaro niliwahi kusema umebeba Mzigo wa Misumari. Gunia lenyewe ni kuwa Jamvi la Wapinzani. Yaani Wapinzani wamekuwa wakitaka kwenda Bungeni lazima wapitie Kilimanjaro. Kwangu Mimi ninavyoona Upinzani umedumaza Sana maendeleo ya Kilimanjaro.

Kudumaza maendeleo sio kwamba maendeleo hayapo Bali yapo Ila yaliletwa na watu wengine na sio Wapinzani. Tulipo tumesimama hatuendelei mbele matokeo yake tunaanza kupitwa kimaendeleo. Mkoa wa Kilimanjaro haupaswi kuwa Kama ulivyo. Hata Rais Magufuli kasema Mkoa wa Kilimanjaro unajichelewesha wenyewe. Kwa nature ya Wapinzani wa Taifa hili si watu wa round table si watu wa kufanya Lobbying ni watu wa kupinga kila kitu. Mkoa wa Kilimanjaro mwaka huu watajitua gunia hili la Misumari libebwe Tena na Singida au Mbeya. Hatuhitaji wabunge wakupinga tu, tunahitaji wabunge wanaoweza kufanya lobbying ya kumfuata rais Ikulu na kumuomba maendeleo ya maeneo yetu.

Wabunge wetu wamekuwa wakitumia nafasi zao za kibunge kujenga mahekalu ya nyumba nyumbani kwao huku wananchi wakibakia kupanua vidole tu. We need to change this kwa miaka Mitano tu.

4. Pamoja na Mambo Mengine leo Jambo la kufurahisha zaidi ni Askofu Mkuu KKKT kutokea kwenye Uwanja Leo na kufanya Sala ya kuombea Taifa.

Askofu Mkuu wa KKKT Dr Fredrick Shoo ni mojawapo ya watu wenye influence Sana kisiasa Mkoa Kilimanjaro.

Dr Shoo kwa namna Moja au nyingine amekuwa ana misimamo mikali Sana kuhusu Siasa za Tanzania Ila Kitendo Cha yeye kuwepo Kwenye mkutano leo wachambuzi wa Mambo ya kisiasa wamelitafsiri tofauti Sana na ni kiashiria Cha Rais Magufuli kukubalika na Makundi yote hata wale wenye msimamo mkali.

Rias bado anaendelea na Mikutano Mkoani Kilimanjaro. Tuendelee kulijadili Mkoa wetu na mustakabali wa maendeleo yetu. Kwa kichaga Kuna msemo usemao Mangi akikutembelea ndio wakati wa kumueleza shida za eneo husika. Kilimanjaro na Magufuli....

Ole Mushi

0712702602
 
..kila upande una lawama zake kwa upande wa pili.

..kwa mfano, unadhani wapinzani wanafurahia mwenzao kucharangwa marisasi ktk eneo la serikali, halafu kunyimwa matibabu, na kubezwa, na wateule wa serikali na chama tawala?

..au, unadhani wapinzani wanafurahia kiongozi wao kufurumushwa na marisasi ya moto na kupelekea kifo cha mwanafunzi Aquilina kuuwawa?

..kuna mambo ya hovyo sana yanatokea na kila upande una lawama zake kwa upande mwingine.

..Binafsi nitapenda kusikia unapendekeza nini kifanyike ili kuondoa mahusiano mabaya kati ya chama tawala, na vyama mbadala.

..Mimi napendekeza tuanze na UCHAGUZI ulio wa HAKI-BIN-HAKI.
Kila upande una lawama lakini CCM ilikua unafanya business as usual, ila upinzani ukazidi kuwa radical 2010 - 2015, kupinga kila kitu na ujuaji, kitu ambacho hawakutegemea ni CCM kuja na mtu kama Magufuli mkali asiyependa siasa zao na anawajua niwepesi mana amaekaa nao bungeni...

Uchaguzi ata uwe wa haki vp kama kuna toxic relationship ngumu kufanya maendeleo ya pamoja baina ya vyama (refer situation ya marekani ya Trump na siasa zao), solution wapinzani warudi kwenye basics wasupport pale wanapoona hakuna nia mbaya au wa compromise pale wanapoona kuna priority zao zimefikiwa kwa asilimia hata 50, hii pia itawajengea uaminifu kwa wapiga kura kwamba sio watu wakupinga tu ila wanapima na issue yenyewe, ila ili waweze kufanya hivyo nafikiri uongozi ndani ya vyama vyao lazima ubadilike mana mengi ya sasa wanatumwa tu wabunge hata kama hawaafiki, so wanahitaji kiongozi mwenye maono tofauti

Sent from my SM-J510L using JamiiForums mobile app
 
Kila upande una lawama lakini CCM ilikua unafanya business as usual, ila upinzani ukazidi kuwa radical 2010 - 2015, kupinga kila kitu na ujuaji, kitu ambacho hawakutegemea ni CCM kuja na mtu kama Magufuli mkali asiyependa siasa zao na anawajua niwepesi mana amaekaa nao bungeni...

Uchaguzi ata uwe wa haki vp kama kuna toxic relationship ngumu kufanya maendeleo ya pamoja baina ya vyama (refer situation ya marekani ya Trump na siasa zao), solution wapinzani warudi kwenye basics wasupport pale wanapoona hakuna nia mbaya au wa compromise pale wanapoona kuna priority zao zimefikiwa kwa asilimia hata 50, hii pia itawajengea uaminifu kwa wapiga kura kwamba sio watu wakupinga tu ila wanapima na issue yenyewe, ila ili waweze kufanya hivyo nafikiri uongozi ndani ya vyama vyao lazima ubadilike mana mengi ya sasa wanatumwa tu wabunge hata kama hawaafiki, so wanahitaji kiongozi mwenye maono tofauti

Sent from my SM-J510L using JamiiForums mobile app

..uchaguzi wa 2015 ulikuwa toxic.

..na bahati mbaya, Jpm hana busara za ku-handle kilichotokea, na kurudisha maelewano na masikilizano ktk siasa zetu.

..tatizo lingine ni kwamba Jpm hapendi demokrasia ya vyama vingi, na ukikosolewa anajisikia kama ametukanwa.

..Jpm amefanya siasa ziwe kama vita kwa kuelekeza vyombo vya dola vipambane na wanasiasa wa vyama mbadala.
 
Ukweli ni kuwa kuna wanaccm wanaona kabisa kuna vitu jiwe alivyofanya kachemka na vimewaumiza hata wao ila wakiangalia namna ya kumfikishia wanakumbuka ni aina ya watu wasioshaurika wala kupangiwa ! Hao nao wana jambo lao japo ni wanaccm wenzenu[emoji3]
 
..uchaguzi wa 2015 ulikuwa toxic.

..na bahati mbaya, Jpm hana busara za ku-handle kilichotokea, na kurudisha maelewano na masikilizano ktk siasa zetu.

..tatizo lingine ni kwamba Jpm hapendi demokrasia ya vyama vingi, na ukikosolewa anajisikia kama ametukanwa.

..Jpm amefanya siasa ziwe kama vita kwa kuelekeza vyombo vya dola vipambane na wanasiasa wa vyama mbadala.
Unaweza kuthibitisha huu uongo wako? Maana Ana Ngwhira alipewa ukoo wa mkoa wakati ni mpinzani. Vita iko wapi? NCCR Mageuzi na TLP wanafanya siasa safi.
Chadema mmezoea harakati badala ya siasa.
 
Unaweza kuthibitisha huu uongo wako? Maana Ana Ngwhira alipewa ukoo wa mkoa wakati ni mpinzani. Vita iko wapi? NCCR Mageuzi na TLP wanafanya siasa safi.
Chadema mmezoea harakati badala ya siasa.

..kufanya harakati ni uhaini nchi hii?

..Jpm hana busara, na anachukia demokrasia ya vyama vingi.

..kiongozi gani anapokea walawiti[babu seya,papii] watoto ikulu, badala ya kualika wanasiasa wenzake na kuzungumza nao?
 
..kufanya harakati ni uhaini nchi hii?

..Jpm hana busara, na anachukia demokrasia ya vyama vingi.

..kiongozi gani anapokea walawiti watoto ikulu, badala ya kuzungumza na wanasiasa wenzake.
Katiba ya JMT inampa malaka ya kusamehe wafungwa. Sasa kama walifungwa alafu wakajirekebisha kuna ubaya kuwapokea?
Uongee na Chadema ambao hata Covid 19 waliitumia kwa harakati za kisiasa badala ya kuungana na watanzania kupambana na hili janga.

Mbona Act,Cuf na Nccr Mageuzi waliitwa ikulu? Chadema haifai kabisa.
 
Katiba ya JMT inampa malaka ya kusamehe wafungwa. Sasa kama walifungwa alafu wakajirekebisha kuna ubaya kuwapokea?
Uongee na Chadema ambao hata Covid 19 waliitumia kwa harakati za kisiasa badala ya kuungana na watanzania kupambana na hili janga.

Mbona Act,Cuf na Nccr Mageuzi waliitwa ikulu? Chadema haifai kabisa.

..wewe unaweza kualika walawiti watoto nyumbani kwako, au ofisini kwako?

..aliyetumia covid19 kisiasa ni Jpm mpaka kufikia kutoa maneno ya kufuru.

..cdm walichukua tahadhari zote ambazo wataalamu walielekeza zichukuliwe.

..nieleze cdm walifanya jambo gani ambalo lilikuwa limekatazwa na wataalamu wa afya kipindi kile cha tishio la covid19.

..mtu asiyefaa ni Jiwe, hapendi demokrasia ya vyama vingi, anataka kuturudisha kwenye mfumo wa chama kimoja.
 
Back
Top Bottom