Kila upande una lawama lakini CCM ilikua unafanya business as usual, ila upinzani ukazidi kuwa radical 2010 - 2015, kupinga kila kitu na ujuaji, kitu ambacho hawakutegemea ni CCM kuja na mtu kama Magufuli mkali asiyependa siasa zao na anawajua niwepesi mana amaekaa nao bungeni...
Uchaguzi ata uwe wa haki vp kama kuna toxic relationship ngumu kufanya maendeleo ya pamoja baina ya vyama (refer situation ya marekani ya Trump na siasa zao), solution wapinzani warudi kwenye basics wasupport pale wanapoona hakuna nia mbaya au wa compromise pale wanapoona kuna priority zao zimefikiwa kwa asilimia hata 50, hii pia itawajengea uaminifu kwa wapiga kura kwamba sio watu wakupinga tu ila wanapima na issue yenyewe, ila ili waweze kufanya hivyo nafikiri uongozi ndani ya vyama vyao lazima ubadilike mana mengi ya sasa wanatumwa tu wabunge hata kama hawaafiki, so wanahitaji kiongozi mwenye maono tofauti
Sent from my SM-J510L using
JamiiForums mobile app