Sure,Chongolo amepwaya sana.Bashiru alifiti sana ila aliharibu kuwadharau wazee na vyama pinzani.
Chongolo hana dharau ila hana mbinu zakujenga hoja watu wavutike nakushawishika.
Shaka humchukulia Chongolo kama mshikaji wake tu.Kabla ya Kinana kulikuwa na katibu mmoja anafanana na Chongolo kiutendaji.