johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hakuna lisilowezekana ndani ya CCM labda kama wewe umezaliwa juzi.Nadhani scenario mezani ni eti Speaker kuziuzulu baada ya akina Mbowe kwenda kulalamika kwa Mama. It will not happen. Mark this post.
Hayo mengine ya Lowassa kujiuzulu ni nje ya scope hii
Safu za uongozi zinapangwa kwa kutumia akili kubwa siyo kufukuzana kama Ufipa!