johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Hakuna lisilowezekana ndani ya CCM labda kama wewe umezaliwa juzi.Nadhani scenario mezani ni eti Speaker kuziuzulu baada ya akina Mbowe kwenda kulalamika kwa Mama. It will not happen. Mark this post.
Hayo mengine ya Lowassa kujiuzulu ni nje ya scope hii
Ni kweli hakuna linaloshindikana. Ila unless umezaliwa juzi, ni upotofu even to think of Speaker Ndugai ajiuzulu kwa kuwa akina Mbowe wataenda "kushitaki" kwa Mama namna Bunge lilivyohandle issue ya wale wabunge 19.Hakuna lisilowezekana ndani ya CCM labda kama wewe umezaliwa juzi.
Safu za uongozi zinapangwa kwa kutumia akili kubwa siyo kufukuzana kama Ufipa!
Kila zama na kitabu chake.Ni kweli hakuna linaloshindikana. Ila unless umezaliwa juzi, ni upotofu even to think of Speaker Ndugai ajiuzulu kwa kuwa akina Mbowe wataenda "kushitaki" kwa Mama namna Bunge lilivyohandle issue ya wale wabunge 19.
Samia keshakwambia yeye na late Magufuli ni kitu kimoja.
Barua ya CHADEMA kwenda kwa Mh. Rais wa Jamhuri wa Tanzania iliyo andikwa mwezi huu imesha pokelewa na kujibiwaKama Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe katika mazungumzo yake na Rais Samia ataamua kuwa wazi na kumweleza ukweli Rais namna akina Halima Mdee na wenzake walivyotinga bungeni basi ni wazi kuna kiongozi mkubwa Bungeni atalazimika kujiuzulu.
Je, Mbowe ana ujasiri wa kukilinda chama na kuweka pembeni ubinafsi?
Je, J J Mnyika atafunguka?
Ngoja tuone.
Naona humjui vizuri Rais wewe.Kama Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe katika mazungumzo yake na Rais Samia ataamua kuwa wazi na kumweleza ukweli Rais namna akina Halima Mdee na wenzake walivyotinga bungeni basi ni wazi kuna kiongozi mkubwa Bungeni atalazimika kujiuzulu.
Je, Mbowe ana ujasiri wa kukilinda chama na kuweka pembeni ubinafsi?
Je, J J Mnyika atafunguka?
Ngoja tuone.
Kuna tofauti kubwa kati ya mtu kuwa Rais na mtu huyo huyo kuwa makamu wa Rais!Naona humjui vizuri Rais wewe.
Umesahau kuwa Mh. Samia ndio alikuwa Makamu wa Rais wa JPM na Mbowe na Mnyika anawajua vizuri sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shibuda ni mwenyekiti wa matawi ya CCM na si mwenyekiti wa vyama vya upinzani?Hivi unafikiri mbowe anaweza kukataa ruzuku inayotokana na akina mdee? Kingine ndani ya chadema ni nani msemaji? Maana Lisu anajisemea na kuweka masharti ya kwenda kuonana na mh. Rais, mbowe yupo kmy, wala Mnyika ambaye ni KM naye kmy. Kabla ya kuanza kuropoka Lisu angejadiliana na viongozi wenzake ili wawe na msimamo moja.. lisu anakataa kupeleka agenda za kwenda kuongea na mh. Raiskwa Shibuda ambaye ni mkt wa vyama vya upinzani km nani? Ameshauriana na wenzake? Tukisema upinzani wa tz ni ovyo, TUNAMAANISHA.. masuala madogo km haya yanaishusha hadhi chadema mbele ya wananchi.
Sasa hivi MATAGA mnahaha kama kuku wa mdondo, hamjui pa kushikilia. Mwendazake kawaacha yatima. Najua muda si mrefu nanyi waganga njaa mtapotea hapa.Kama Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe katika mazungumzo yake na Rais Samia ataamua kuwa wazi na kumweleza ukweli Rais namna akina Halima Mdee na wenzake walivyotinga bungeni basi ni wazi kuna kiongozi mkubwa Bungeni atalazimika kujiuzulu.
Je, Mbowe ana ujasiri wa kukilinda chama na kuweka pembeni ubinafsi?
Je, J J Mnyika atafunguka?
Ngoja tuone.
Kama wewe ulivyopotelea huko ulipo bwashee!Sasa hivi MATAGA mnahaha kama kuku wa mdondo, hamjui pa kushikilia. Mwendazake kawaacha yatima. Najua muda si mrefu nanyi waganga njaa mtapotea hapa.
Mbowe ni mbinafasi?Kama Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe katika mazungumzo yake na Rais Samia ataamua kuwa wazi na kumweleza ukweli Rais namna akina Halima Mdee na wenzake walivyotinga bungeni basi ni wazi kuna kiongozi mkubwa Bungeni atalazimika kujiuzulu.
Je, Mbowe ana ujasiri wa kukilinda chama na kuweka pembeni ubinafsi?
Je, J J Mnyika atafunguka?
Ngoja tuone.
Hivi rais ana mamlaka ya kumtengua spika?Kama Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe katika mazungumzo yake na Rais Samia ataamua kuwa wazi na kumweleza ukweli Rais namna akina Halima Mdee na wenzake walivyotinga bungeni basi ni wazi kuna kiongozi mkubwa Bungeni atalazimika kujiuzulu.
Je, Mbowe ana ujasiri wa kukilinda chama na kuweka pembeni ubinafsi?
Je, J J Mnyika atafunguka?
Ngoja tuone.
Nawe utofautishe mtazamo binafsi na msimamo wa chamaHivi unafikiri mbowe anaweza kukataa ruzuku inayotokana na akina mdee? Kingine ndani ya chadema ni nani msemaji? Maana Lisu anajisemea na kuweka masharti ya kwenda kuonana na mh. Rais, mbowe yupo kmy, wala Mnyika ambaye ni KM naye kmy. Kabla ya kuanza kuropoka Lisu angejadiliana na viongozi wenzake ili wawe na msimamo moja.. lisu anakataa kupeleka agenda za kwenda kuongea na mh. Raiskwa Shibuda ambaye ni mkt wa vyama vya upinzani km nani? Ameshauriana na wenzake? Tukisema upinzani wa tz ni ovyo, TUNAMAANISHA.. masuala madogo km haya yanaishusha hadhi chadema mbele ya wananchi.
Huo utamaduni wa kujiuzulu siyo wa kwetu, labda Mungu aamue tu mwenyewe! Lakini kwenye Bettina napo, hamna kitu mle!Kama Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe katika mazungumzo yake na Rais Samia ataamua kuwa wazi na kumweleza ukweli Rais namna akina Halima Mdee na wenzake walivyotinga bungeni basi ni wazi kuna kiongozi mkubwa Bungeni atalazimika kujiuzulu.
Je, Mbowe ana ujasiri wa kukilinda chama na kuweka pembeni ubinafsi?
Je, J J Mnyika atafunguka?
Ngoja tuone.
Kama Rais SSH atasikiliza hoja za CHADEMA kuhusu ukiukwaji wa Katiba na Sheria ili kuwakandamiza, kuwaonea, KUWANYANYASA na kuwapiga CHADEMA nje na ndani ya Bunge basi wote Ndugai na Asiye Tulia Ackson watakuwa wamekalia kuti kavu Bungeni. Wote wamehusika kuwaingiza Covid-19 Bungeni na kuwakingia kifua kwa nguvu zote huku WAKIJUA KUWA KATIBA HAIRUHUSU MBUNGE YEYOTE KUINGIA BUNGENI KAMA HANA CHAMA.....!!!Kama Mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe katika mazungumzo yake na Rais Samia ataamua kuwa wazi na kumweleza ukweli Rais namna akina Halima Mdee na wenzake walivyotinga bungeni basi ni wazi kuna kiongozi mkubwa Bungeni atalazimika kujiuzulu.
Je, Mbowe ana ujasiri wa kukilinda chama na kuweka pembeni ubinafsi?
Je, J J Mnyika atafunguka?
Ngoja tuone.
Kama mwenyekiti wa CCM anao uwezo wa kisayansi!Hivi rais ana mamlaka ya kumtengua spika?