Ziara ya Mbowe Ikulu kama itakuwa ya kizalendo namuona Dr Tulia akikaimu Uspika na kuutwaa kabisa

Wewe kwa akili zako ndogo unahisi Mbowe ataenda kuzungumza kuhusu habari za Covid wale,au kuhusu mambo yake binafsi???

Sahahu kuhusu Covid coz hule ni mpango wa siri wa Mbowe na Job .
Kama ni mpango wa siri wa Mbowe na Ndugai wewe umeujuaje?!
 
Kama Rais SSH atasikiliza hoja za CHADEMA kuhusu ukiukwaji wa Katiba na Sheria ili kuwakandamiza, kuwaonea, KUWANYANYASA na kuwapiga CHADEMA nje na ndani ya Bunge basi wote Ndugai na Asiye Tulia Ackson watakuwa wamekalia kuti Bungeni.
Dr Tulia hausiki yeye hana mamlaka ya kumuapisha mbunge!
 
Nyie ujinga unawazidi, unatoka pande ipi aroo? Chato?
 
Acha kujitoa ufahamu wewe!!!
Kila Mtz anajua NEC-CCM WALIIBA KURA MWAKA JANA 2020. Katiba ya CCM imetamka wazi kuwa TUME CHAGUZI CCM IKISHA TANGAZA HAKUNA KUHOJI.!! Wewe ulitaka CHADEMA wafanyeje?
Swala la WABUNGE WA VITI MAALUMU TOKA CHADEMA HAWAKUINGIA KIHALALI MJENGONI. Hapo kuna forgery au NYALAKA GHUSHI KUWAINGIZA HAO CORONA 19 BILA TARATIBU ZA KISHERIA NA WALISHA FUKUZWA UANACHA TANGU NOV, 2020.....!!! KWA SASA WANABEBWA NA SPIKA NDUGAI AMBAYE ANATAKIWA AIDHA AJIUZULU AU BUNGE LIMUNG'OE KWA KURA YA KUTOKUWA NA IMANI NA SPIKA.....Full stop.
 
Kwani mama haujui ukweli?? au unataka kutueleza kuwa wakati hayo yakofanyika mama alikuwa kasafiri? Kama ww unajua ukweli na upo mbali na binge vipi kuhusu mama aliye kuwa karibu huko.
 
Kongole kwa comment yako....wengine hawajui wape darasa kiongozi
 
Dr Tulia hausiki yeye hana mamlaka ya kumuapisha mbunge!
Kuwa Naibu wa Spika manake siyo ku-support kila kitu anachosema Spika. Huyu Kigagula amesomea Sheria tofauti na Ndugai aliyesomea kutibu Wanyama!
Je, alikuwa wapi kumshauri HUYU MGOGO wakti akipindisha Katiba na Sheria??
 
We jamaa kichwa chako kina chaji vizuri toka jamaa umeme ulete hitilafu.
Ila mama atatuvusha salama,tuondoe shaka
 
Kuwa Naibu wa Spika manake siyo ku-support kila kitu anachosema Spika. Huyu Kigagula amesomea Sheria tofauti na Ndugai aliyesomea kutibu Wanyama!
Je, alikuwa wapi kumshauri HUYU MGOGO wakti akipindisha Katiba na Sheria??
Hivi Ndugai sio mwanasheria?
 

Watanzania tumekuwa tukitumia Jina uzalendo kiholela . Uzalendo ni mapenzi ya nchi na Mbowe na wapinzani ni wazalendo kama watu wengine. Lakini Magu na uongozi wake walitaka watu waamuni uzalendo ni ccm tu
 
Kuwa Naibu wa Spika manake siyo ku-support kila kitu anachosema Spika. Huyu Kigagula amesomea Sheria tofauti na Ndugai aliyesomea kutibu Wanyama!
Je, alikuwa wapi kumshauri HUYU MGOGO wakti akipindisha Katiba na Sheria??
Unajuaje kama hakutoa ushauri ukakataliwa?!!
 
Wewe ni zezeta usiyeweza kufikiri sawasawa.unazungumzia ruzuku mbowe anaweza kukataa? Kwani wakiwaondoa hao wapumbavu wenzenu zile nafasi 19 za chama zinapotea? Si watawateuwa wanaowataka wao na ruzuku itabaki palepale.jipunguzie uzezeta hata Kama Ni ngumu kwako
 
Sasa kama mlishawafukuza uanachama mnahangaika nao wa nini?
 
Mdee na wenzake wachangie tu chama kila mwezi kutokana na mshahara na posho zao....na kumpelekea chairman box la bapa kubwa la nyagi...maisha yaendelee...waachane na makesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…