Ziara ya Mbowe Ikulu kama itakuwa ya kizalendo namuona Dr Tulia akikaimu Uspika na kuutwaa kabisa

Amka usingizini Spika hawezi kujiuzuru kwa kuwa mwananchi wakawaida mwenye stress kasema ,Bunge la CCM kamwe haliwezi na halitaweza kumpigia kura ya kutomuamini RAIS au SPIKA ,nikukumbushe CCM ni chama tawala ,chama imara ,chama cha mapinduzi .
 
Kwani chadema si wamesusa Mambo ya uchaguzi?.
Au umesahau?.
mliwaibia Kura na kutengenezwa Kura FEKI.
Mliwasaidia kudai Haki zao?.
Kwanini HAO wabunge wa akina mdee iwe ishu?
Ili wateule halali waingie bungeni.

Hawa akina Halima wanalinajisi bunge letu tukufu!
 
Sasa kama mlishawafukuza uanachama mnahangaika nao wa nini?
Kuna sababu kuu 2 za kuhangaika nao:
1. Wameingia Bungeni kwa kughushi wakitumia jina la CHADEMA.
2. Wamekiuka Katiba ya JMT kwa kuendelea kung'ang'ania Bungeni ilhali walishafukuzwa Bungeni!
Amka usingizini Spika hawezi kujiuzuru kwa kuwa mwananchi wakawaida mwenye stress kasema ,Bunge la CCM kamwe haliwezi na halitaweza kumpigia kura ya kutomuamini RAIS au SPIKA ,nikukumbushe CCM ni chama tawala ,chama imara ,chama cha mapinduzi .
Unaongea ujinga hapa kwa kutumia kibri na jeuri ya chama Twawala.
Hivi kwene akili yako uliwahi kufikiria leo tungelikuwa na Rais SSH badala ya JPM? CCM endeleeni kutamba tu lakini Mungu ni zaidi ya kibri na tambo zenu! Iko siku tu.....!!!
 
ata akimweleza haitakuw na impact, lbd tu warudi wayajenge ndan ya chama!
Hapo kitakachofuata ni makubaliano kina Mdee waendelee ili mabeberu watoe hiyo trilioni 2.

Hata huko Kigoma pia wanaweza kushiriki uchaguzi baada ya mazungumzo
 
Hahahaaaa...... Alifanya vizuri bunge la katiba!
Bettina hakuwepo bunge la katiba, Bwashee!
 
Sasa kama mlishawafukuza uanachama mnahangaika nao wa nini?
Tunahangaika nao kwasababu kuu 2 muhimu:
1.
Sasa kama mlishawafukuza uanachama mnahangaika nao wa nini?
Kuna sababu kuu 2 za kuhangaika nao:
1. Wameingia Bungeni kwa kughushi wakitumia jina la CHADEMA.
2. Wamekiuka Katiba ya JMT kwa kuendeleza kung'ang'ania Bungeni hulu wakiwa sio wanachama wa Chama chochote!
 
Job na Tulia hawaheshimu Katiba

Wameikanyaga Katiba tangu enzi za JPM na bado wanaendelea kutoheshimu Katiba.

Hawa hawafai kabisa kuwa Viongozi mahali popote.
 
ILA wizi wa Kura na Kura FEKI NI SAHIHI?
 
Tulia n jobo plus wabunge wote ccm wameingia kwa kura za uwizi,hata mama nafasi ya umakamu kaingia kwa wizi wa kura ....ccm wote ni genge la vibaka n wauaji
 
Mama yeye anaweza ingilia maamuzi ya muhimili mwingine? Si mtaanza tena anasigina katiba ya nchi
 
Ndugai kafanya ujinga mwingi mno huu ni cha mtoto kumfanya ajiudhuru.
 
Rais hana mamlaka na yanayoendelea Bungeni. Ni kujilisha upepo kuamini ya kwamba Rais anaweza kutoa maelekezo "eti" wabunge fulani wafukuzwe Bungeni. Msiwaaminishe uongo wafuasi wenu. Ipo siku watawachoka na uongo wenu!
 

Hii ngoma tamu subiri uone itakavyochezwa. Kule Ruzuku 🤪🤪🤪
 
Hii no kiini cha hoja. Kwa nnCDM inahangaika na covid 19 kuliko kuibiwa uchaguzi? Maana yake ni kwamba wanataka wakose wote? Inafikirisha.
 
Uzi wako umebaki kwenye jukwaa hili kwa sababu umemtaja Mwamba Mbowe tu , lakini vinginevyo ungefutiliwa mbali maana haueleweki

 
Uzuri wake bidii uliyokuwa nayo ya kuokoteza vihoja ili kujiliwaza inazidi kwisha.
Na hii yaonekana mpaka kwa wenzenu bungeni.
Kwa vile aliyekuwa anawajaza ushetani huo na kuwapotosha sasa hivi hayupo, ingekuwa busara kwako kujitahidi kurudi kwenye busara na kuishi kwenye haki na ukweli kuwa, CHADEMA ipo na baada ya kupita kwenye moto mkali yazidi kuwa IMARA tayari kushiriki kwenye siasa safi, chini ya uongozi bora. AMEN
 
Uongozi imara wa chama gn? Tumieni akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…