Ziara ya Nancy Pelosi nchini Taiwan ilitoa jibu

Sina haja ya kubishana na mfia china kobaaz kama wewe mwenye uelewa wa hapa na pale tena wa kuokoteza tena uelewa wenyewa wa kimaamuma.
Mkikosa hoja ndivyo mnavyoropokaga.
Mara mfia China mara mvaa kobaaz.
Kakae chini ujifunze kwanza uache blabbering.
 
Yaaaani Marekani anamzuia China asitawale dunia kupitia Taiwan? Are you serious? Huyo Taiwan ni strategic partner mkubwa wa Marekani... Marekani anaitumia Taiwan kama ambavyo wew unaitumia Zanzibar
 
tena Pelosi aliinga Taiwan na Airt Force One ndege ya Rais wa Marekani ili china akiamua kuangusha ndege ya rais iwe vita imetimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…