Tumeona Mtanzania Brigedia Jenerali Juma Nkangaa akiidhinishwa kuongoza Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC kama Mkurugenzi. Hatua hii inatokana na juhudi za serikali ya Rais Samia kuendelea kushirikiana na mataifa mengine kikamilifu katika nyanja zote muhimu.
Licha ya mikutano ya SADC, ziara ya Rais Samia nchini DRC ni fursa kubwa kwa wafanyabiashara wa Tanzania na wawekezaji mbalimbali wenye nia ya kuchangamkia fursa zilizopo katika nchi mwanachama mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki mwenye idadi ya watu zaidi ya Milioni 90.
Sanjari na fursa za kibiashara nchini DRC, Nchi hii pia inategemea miundombinu kama Bandari ya Dar na wanunuzi wakubwa wa bidhaa za kilimo kutoka. Kwa juhudi zinazoendelea kuimarisha sekta ya Kilimo ni wakati sahihi kwa kuendelea kuimarisha masoko yake ya nje.
Rais Samia Suluhu anatekeleza sera ya mambo ya nje ya nchi inayochagiza Diplomasia ya uchumi kwa vitendo, shime watanzania wote tuendelee kumuunga mkono katika kazi zake hizi zenye tija kwa kila mmoja wetu.
Licha ya mikutano ya SADC, ziara ya Rais Samia nchini DRC ni fursa kubwa kwa wafanyabiashara wa Tanzania na wawekezaji mbalimbali wenye nia ya kuchangamkia fursa zilizopo katika nchi mwanachama mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki mwenye idadi ya watu zaidi ya Milioni 90.
Sanjari na fursa za kibiashara nchini DRC, Nchi hii pia inategemea miundombinu kama Bandari ya Dar na wanunuzi wakubwa wa bidhaa za kilimo kutoka. Kwa juhudi zinazoendelea kuimarisha sekta ya Kilimo ni wakati sahihi kwa kuendelea kuimarisha masoko yake ya nje.
Rais Samia Suluhu anatekeleza sera ya mambo ya nje ya nchi inayochagiza Diplomasia ya uchumi kwa vitendo, shime watanzania wote tuendelee kumuunga mkono katika kazi zake hizi zenye tija kwa kila mmoja wetu.