Mimi na swali ziara za mama zote huwa tunaona mpaka anapanda ndege ila hii ya USA hakuna hata picha moja kumuona Mama anaaga kama mazoea au kachukuwa airbus hataki watu wapige kelele. Mimi sina shida na safari Rais ni jukumu lake kwenda kuhudhuria mikutano ya kimataifa wala sio issue kuna watu wanataka kufananisha na JPM mbona alikuwa hasafiri hapo sio sawa hata JPM alisemwa kwanini asafiri. Kusafiri ni hobby kuna watu wanapenda safari na kuna watu hawapendi kawaida sana shida kwanini leo hii mama anaenda ziara kubwa kama hii USA hakuna hata picha moja akipanda ndege wanaficha nini? Nahisi kabeba Airbus litaenda ku pack kule na kulipa ground charges, na sijui kaondoka na ujumbe gani ziara utasema mtu kafumaniwa kimya kimyaa bila mbwembwe za picha za Mama yetu.