Ziara ya Rais Traole wa Burkina Faso italeta kichocheo kwa Watanzania cha kuchukia utawala wa kifisadi unaogawa rasilimali za Taifa kwa wageni?

Hii michadema Kila wakati inawaza michuki tu😬😬😬
Ndo maana Mungu anawaadhibu hawafanikiwa kwa lolote........Sasa wamepoteza 42% basi inatafuta kwa kutolewa stress.
 
Mbona mkutano wa Brics south Africa alienda na hata juzi kati kuapishwa rais wa Ghana alikua huko
Huko Ghana alienda dk za mwisho na hata kukawa na taarifa kwamba asingehudhuria,na bado anapanda na mabastola jukwaani
 
Hii michadema Kila wakati inawaza michuki tu😬😬😬
Ndo maana Mungu anawaadhibu hawafanikiwa kwa lolote........Sasa wamepoteza 42% basi inatafuta kwa kutolewa stress.
Huelewi maana ya impact leaders huwezi kuelewa, wewe nenda kashangilie watu wako ndilo unaloweza
 
Nyuzi zako nyingi pamoja na comments umekuwa ukisisitiza kwamba hakuna UCHAWI. Au mimi ndio huwa sielewi?
Hakuna uchawi, uchawi ni imani kuhusu kitu ambacho hakipo.

Kama vile inavyowezekana ikawa hakuna Mungu, lakini kuna waamini wa Mungu wenye imani ya kuwapo Mungu, vivyo hivyo, hakuna uchawi, ila kuna wachawi wanaoamini uchawi, uchawi ambao haupo.

Umeshanielewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…