Ziara ya Rais Traole wa Burkina Faso italeta kichocheo kwa Watanzania cha kuchukia utawala wa kifisadi unaogawa rasilimali za Taifa kwa wageni?

Ziara ya Rais Traole wa Burkina Faso italeta kichocheo kwa Watanzania cha kuchukia utawala wa kifisadi unaogawa rasilimali za Taifa kwa wageni?

Mchawi kivipi mkuu wakati kila siku unasema uchawi Hakuna?
Kwani haiwezekani ikawa uchawi hakuna halafu bado kuna watu wanaamini uchawi upo, na wakawa wachawi kwa sababu ni watu wanaoamini uchawi?

Mbona hii hoja nyepesi inawatatiza watu wengi kuelewa.

Uchawi ni imani, ukiamini ndumba wewe mchawi. Hizo ndumba unazoziamini kama hazifanyi kazi hilo haliondoi ukweli kwamba wewe unaziamini na hivyo ni mchawi.

Umeelewa?
 
Kwani haiwezekani ikawa uchawi hakuna halafu bado kuna watu wanaamini uchawi upo, na wakawa wachawi kwa sababu ni watu wanaoamini uchawi?
Ahaa mantiki yako nimeielewa
 
Nyuzi zako nyingi pamoja na comments umekuwa ukisisitiza kwamba hakuna UCHAWI. Au mimi ndio huwa sielewi?
nimegundua kiranga ni mbabaishaji sana.

anasema kuna natural na supernatural, wakati huo huo anakataa uwepo wa supernatural.

hopeless kabisa huyu jamaa!
 
Jamaa anaweza akasema anakuja dakika za mwisho akaahirisha,maana anaogopa kupinduliwa

..Mama Abduli anapenda wawekezaji.

..Traore hapendi wawekezaji.

..Kwanini Tanzania tumemualika Traore?

..Nani anamshauri Mama Abduli?

..Au Mama Abduli hashauriki?
 
..Mama Abduli anapenda wawekezaji.

..Traore hapendi wawekezaji.

..Kwanini Tanzania tumemualika Traore?

..Nani anamshauri Mama Abduli?

..Au Mama Abduli hashauriki?
Hata sijui mkuu
 
Back
Top Bottom