John Manoni
JF-Expert Member
- Sep 5, 2020
- 244
- 167
Akhh,hao sio mabeberu?Bavicha watakuelewa kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akhh,hao sio mabeberu?Bavicha watakuelewa kweli?
Unadhani kuwaita watu Mabeberu kila kukicha ni Diplomasia. Ukakasi wowote wa mahusiano unaotokea / utakaotokea ni kukosa hekima / busara kwa viongozi wenyewe.
Pia kumbuka kwenye mambo ya biashara ni Quid Pro Quo, hata ukiwatukana watu in the end kama they have more to gain (dollarwise) who cares, ila wale ambao bottom line sio kutengeneza faida bali walfare ya watu duniani (utawapoteza)