chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nimeona Mkuu wa Mkoa amezindua ziara za usiku mzima, tena akiwa na watumishi wa umma wa kike na kiume.
Ninachofahamu, muda wa mtumishi wa umma kuwa ofisini mwisho saa tisa na nusu. Sasa sijafahamu kuhusu huu utumishi wa mpaka usiku wa manane.
Kwanza, hao watumishi wanatakiwa kuwa kazini saa moja na nusu asubuhi, kulikoni uwalaze saa kumi na moja alfajiri? Kwa kanuni ipi ya utumishi wa umma?
Je walioolewa, na waume zao wanawasubiri, ndoa zitakuwa salama? Je si kuhatarisha na kuyumbisha taasisi muhimu ya ndoa na hata maisha ya wanandoa hao, hasa wa jinsia ya kike, kwamba kuna namna tu imetafutwa, lakini lengo sio ziara ila ni kupakua asali?
Asubuhi watu hao wataweza kufika maofisini? Usingizi?
Ziara hizo zilipata clearance za ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma? May be the RC is over ambitious!
Kwamba anataka maafisa ardhi, TRA na wengine wakae maofisini usiku kucha, at this digital age. Nadhani angefanya consultation, kabla hajaingia kwenye mivutano, na kuwapa hoja wapinzani.
Let him reform the system first, tena kwa kutungiwa sheria, ili jambo hili lisiende kwa personal whims, and, he should sweep all the panya road wanaozurura usiku ili watumishi wawe salama.
Otherwise, uchumi wa masaa 24 unawavuta watu, sio watu wauvute. Yaani, mazingira yatawavuta watu wakae mpaka pakuche
Ninachofahamu, muda wa mtumishi wa umma kuwa ofisini mwisho saa tisa na nusu. Sasa sijafahamu kuhusu huu utumishi wa mpaka usiku wa manane.
Kwanza, hao watumishi wanatakiwa kuwa kazini saa moja na nusu asubuhi, kulikoni uwalaze saa kumi na moja alfajiri? Kwa kanuni ipi ya utumishi wa umma?
Je walioolewa, na waume zao wanawasubiri, ndoa zitakuwa salama? Je si kuhatarisha na kuyumbisha taasisi muhimu ya ndoa na hata maisha ya wanandoa hao, hasa wa jinsia ya kike, kwamba kuna namna tu imetafutwa, lakini lengo sio ziara ila ni kupakua asali?
Asubuhi watu hao wataweza kufika maofisini? Usingizi?
Ziara hizo zilipata clearance za ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma? May be the RC is over ambitious!
Kwamba anataka maafisa ardhi, TRA na wengine wakae maofisini usiku kucha, at this digital age. Nadhani angefanya consultation, kabla hajaingia kwenye mivutano, na kuwapa hoja wapinzani.
Let him reform the system first, tena kwa kutungiwa sheria, ili jambo hili lisiende kwa personal whims, and, he should sweep all the panya road wanaozurura usiku ili watumishi wawe salama.
Otherwise, uchumi wa masaa 24 unawavuta watu, sio watu wauvute. Yaani, mazingira yatawavuta watu wakae mpaka pakuche