Ziara za Chalamila akiongozana na watumishi wa umma, tena usiku wa manane, zina muongozo upi wa sheria? Hasa kwa wenye watoto na ndoa?

Ziara za Chalamila akiongozana na watumishi wa umma, tena usiku wa manane, zina muongozo upi wa sheria? Hasa kwa wenye watoto na ndoa?

Viongozi wa bongo wanaongozwa na utashi wao wala si STK -Sheria,Taratibu na Kanuni.
 
Mleta mada acha kukurupuka ama ushamba umekujaa !
Kwanza kabisa serikali halilali !
Dsm ni jiji la biashara, 24hrs shughuli mbali mbali zinaendelea, khs utumishi wa umma ni kwamba mnaweza kuwekeana utaratibu tu mkawa mnapisha kwenye masaa ya kazi !

Jiulize walinzi, watu wa viwandani, watu wa kada ya afya nk unafikiri hawalali ama hawapati muda wa kupumzika ?
 
Mleta uzi.

Mwajiriwa ana saa za kazi. Zikizidi atatakiwa kulipwa kwa muda wa ziada.

Kwa serikalini muda wa ziada kulipwa ni uhakika kwa 80% na kwa binafsi uhakika ni 40%.

Kwa serikalini uhakika ni 80% kutegemea kituo cha kazi cha mhusika n.k. kwa binafsi uhakika ni 40% kwakua kampuni binafsi zinafocus na faida hivyo hua hazina nia thabiti kumlipa huyu mtu.

Ama humfanyisha kazi kwa saa nyingi zaidi tofauti na malipo.

Kampuni nyingi binafsi nchini zina hii changamoto.

Now, ilitakiwa uwe hapa kuwasemea wafanyakazi wa serikali au wenzetu walio kwenye kampuni za wachina?
 
Hiyo ni mipango ya kazi tu kama kwenye mikesha ya mwenge watumishi wote wanatakiwa kukesha.
Ila hapo lazima kuna posho (extra duties or overtime allowance) manake mida ya kazi inajulikana

Ukikataa utaonekana mtomvu wa nidhamu ukikubali unalipwa na posho wewe utachagua lipi?
 
Unachofahamu ni mazowea lakini siyo kanuni au sheria.

Sheria inataka mfanyakazi awe kafanya masaa ya siyozidi na kupunguwa kadhaa kwa wiki aukabla hajapumzika.

Wale madaktari, mapolisi, wauguzi, na sehemu zingine kadhaa wa kadhaa za hudumu zinafanya kazi usiku na mchana.

Chalamila yupo sahihu, alishatangaza anataka Datr liwe jiji la bishara kwa saa 24 (jiji lisilo lala), ni lazima atembee usiku ajionee anajipanga vipi.
Umekunywa chai? Maana umeandika kama uko usingizini
 
Nimeona Mkuu wa Mkoa amezindua ziara za usiku mzima, tena akiwa na watumishi wa umma wa kike na kiume.

Ninachofahamu, muda wa mtumishi wa umma kuwa ofisini mwisho saa tisa na nusu. Sasa sijafahamu kuhusu huu utumishi wa mpaka usiku wa manane.

Kwanza, hao watumishi wanatakiwa kuwa kazini saa moja na nusu asubuhi, kulikoni uwalaze saa kumi na moja alfajiri? Kwa kanuni ipi ya utumishi wa umma?

Je walioolewa, na waume zao wanawasubiri, ndoa zitakuwa salama? Je si kuhatarisha na kuyumbisha taasisi muhimu ya ndoa na hata maisha ya wanandoa hao, hasa wa jinsia ya kike, kwamba kuna namna tu imetafutwa, lakini lengo sio ziara ila ni kupakua asali?

Asubuhi watu hao wataweza kufika maofisini? Usingizi?

Ziara hizo zilipata clearance za ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma? May be the RC is over ambitious!

Kwamba anataka maafisa ardhi, TRA na wengine wakae maofisini usiku kucha, at this digital age. Nadhani angefanya consultation, kabla hajaingia kwenye mivutano, na kuwapa hoja wapinzani.

Let him reform the system first, tena kwa kutungiwa sheria, ili jambo hili lisiende kwa personal whims, and, he should sweep all the panya road wanaozurura usiku ili watumishi wawe salama.

Otherwise, uchumi wa masaa 24 unawavuta watu, sio watu wauvute. Yaani, mazingira yatawavuta watu wakae mpaka pakuche
Huyu mpuuzi Jana kasababisha miimi kukaa na mtoto wa miaka mitatu hadi saa sita usiku.Mtoto katoka shule,nimpikie,nimbadilishe nguo nk.
 
Unachofahamu ni mazowea lakini siyo kanuni au sheria.

Sheria inataka mfanyakazi awe kafanya masaa ya siyozidi na kupunguwa kadhaa kwa wiki aukabla hajapumzika.

Wale madaktari, mapolisi, wauguzi, na sehemu zingine kadhaa wa kadhaa za hudumu zinafanya kazi usiku na mchana.

Chalamila yupo sahihu, alishatangaza anataka Datr liwe jiji la bishara kwa saa 24 (jiji lisilo lala), ni lazima atembee usiku ajionee anajipanga vipi.

Nimepishana na msafara wake usiku wa saa sita kasoro nimehesabu magari yapo kama 40 hivi ikiongozwa na Landcrusier mbele ya polisi ,Double cabin ya pili polisi,ya tatu V8 ,ya nne LC 300 nyeusi ya RC DSM na ya mwisho kama ya 40 hivi Crown nyeupe anaendesha Demu.

Kama lengo ni kufanya survey kujipanga alifanye vipi jiji la DAR kufanya kazi 24/7 imekaa vizuri ,ila sehemu zenye biashara aweke ulinzi wa maana na maaskari wawe active na si ikifika usiku sana waondoke waende kulala watazalisha majambazi.
 
Nimepishana na msafara wake usiku wa saa sita kasoro nimehesabu magari yapo kama 40 hivi ikiongozwa na Landcrusier mbele ya polisi ,Double cabin ya pili polisi,ya tatu V8 ,ya nne LC 300 nyeusi ya RC DSM na ya mwisho kama ya 40 hivi Crown nyeupe anaendesha Demu.

Kama lengo ni kufanya survey kujipanga alifanye vipi jiji la DAR kufanya kazi 24/7 imekaa vizuri ,ila sehemu zenye biashara aweke ulinzi wa maana na maaskari wawe active na si ikifika usiku sana waondoke waende kulala watazalisha majambazi.
Nnachoogopea mimi, hao askari uchwara webgine wasigeuke majambazi.

Kuwe na ulinzi na walinzi wa ulinzi.
 
Unachofahamu ni mazowea lakini siyo kanuni au sheria.

Sheria inataka mfanyakazi awe kafanya masaa ya siyozidi na kupunguwa kadhaa kwa wiki aukabla hajapumzika.

Wale madaktari, mapolisi, wauguzi, na sehemu zingine kadhaa wa kadhaa za hudumu zinafanya kazi usiku na mchana.

Chalamila yupo sahihu, alishatangaza anataka Datr liwe jiji la bishara kwa saa 24 (jiji lisilo lala), ni lazima atembee usiku ajionee anajipanga vipi.
Sahihu =sahihi

Ova
 
Nnachoogopea mimi, hao askari uchwara webgine wasigeuke majambazi.

Kuwe na ulinzi na walinzi wa ulinzi.

Kabisa ,ikiwezekana waweke CCTV camera zenye uwezo wa hali ya juu with night vision, HD na kuchukua sauti ,kuwe na control room wanafanya monitoring ya hizo CCTV na hapo control wakiona watu hawawaelewi soon wawajulishe askari patrol walio kwenye eneo hilo wawakamate na kuwahoji ,wakifanya hivyo itakuwa salama kwa atleast 90%.
 
Haya ni maoni ya Mtanzania aliyekulia uvivu, amezoea uvivu, na analipwa kwa kuendekeza uvivu.

Mtu hana habari kuwa siku moja ina masaa 24, na yote ukitaka na kuamua yanaweza kuwa ya kazi.
Ni watu kama mtoa mada anafikiri TOYOTA inatengeneezwa wakati wa mchana tu. Ndege za Boeing tunazoziona zinatengenezwa jua likiwaka tuu!!

Ewe Mtanzania AMKA.................!
Na nmpageza sana Mkuu wa Mkoa Chalamila kwa kulionyesha kwa vitendo.
Mnasahau kazi ni aina kw aina- za usiku, zina night shifts, za mchana zina masaa - uingie xa ngp utoke xa ngp na lunch xa ngp na hizi pia znaendna na malipo. Zpo za kixiaxa ambzo ni za mateuzi na zina maelekezo yke kw mujib wa mteuzi na hata malipo na maruprup yana akisi majukumu. Kna za mikataba na zingne m2 anapelekwa kutatua tatizo flani tu alaf zinaisha. Kaz ni mikataba ya mdomo au maandishi, mngne ni xiaxa
 
Hiyo ni mipango ya kazi tu kama kwenye mikesha ya mwenge watumishi wote wanatakiwa kukesha.
Ila hapo lazima kuna posho (extra duties or overtime allowance) manake mida ya kazi inajulikana

Ukikataa utaonekana mtomvu wa nidhamu ukikubali unalipwa na posho wewe utachagua lipi?
Posho ni sh? Kama sijakosea haizidi elfu 10,000 kwa mtumushi wa kawaida
 
Mnasahau kazi ni aina kw aina- za usiku, zina night shifts, za mchana zina masaa - uingie xa ngp utoke xa ngp na lunch xa ngp na hizi pia znaendna na malipo. Zpo za kixiaxa ambzo ni za mateuzi na zina maelekezo yke kw mujib wa mteuzi na hata malipo na maruprup yana akisi majukumu. Kna za mikataba na zingne m2 anapelekwa kutatua tatizo flani tu alaf zinaisha. Kaz ni mikataba ya mdomo au maandishi, mngne ni xiaxa
Hii watasoma watoto wenzio.
 
Back
Top Bottom