Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunawaeleza ukweli wa jamaa yenuAnti-makonda pro max
Taarifa ya kuwa ana ziara umeipata wapi au upo kwenye ziara zake na wewe.Wakuu,
Ziara za Makonda hazina tena mvuto na hakuna chombo kinachoripoti, ndio ajue kuna nguvu zaidi yake.
Ni wakati sasa atulie aache kuzalisha migogoro na uchonganishi kwenye taasis za serikali
Ni kweli..Ziara za Makonda hazina tena mvuto
Wameacha lini kuripoti, ile video ya juzi imesambaa kama kawaidana hakuna chombo kinachoripoti, ndio ajue kuna nguvu zaidi yake.
Duh,Natamani huyu Jamaa awe Rais wa hii nchi atunusuru.
Dogo anavyoona watu na makamera wanammulika Kila alipo na Kila tukio anavimba bichwa kumbe wabaya wake wako kaziniWakuu,
Ziara za Makonda hazina tena mvuto na hakuna chombo kinachoripoti, ndio ajue kuna nguvu zaidi yake.
Ni wakati sasa atulie aache kuzalisha migogoro na uchonganishi kwenye taasis za serikali
PumbafuJamaaa anazidi kuwapiga Misumari,Natamani huyu Jamaa awe Rais wa hii nchi atunusuru.