Zidane au Xavi, nani alikuwa bora?

Zidane au Xavi, nani alikuwa bora?

unataka namba?

-zidane ni mchezaji bora wa miaka 50 iliopita wa ulaya (xavi pia ni wa ulaya)

UEFA Golden Jubilee Poll - Wikipedia

-ana baloon d or moja xavi ana kibuyu

-fifa player of the year mara 3 xavi ana kibuyu

-kila fainali man of the match yeye (kasoro 2006 ambayo alimpiga mtu kichwa), na sio man of the match tu bali anakuwa mchezaji bora wa michuano. nikukumbushe

1. 1998 huyu jamaa aliwafunga brazil goli mbili fainali akawa mchezaji bora wa michuano na man of the match fainali

2. mwaka 2000 mchezaji bora michuano EUro

3. 2002 anakosekana ufaransa wanatoka makundi world cup

4. 2006 anarudi world cup ufaransa wanafika fainali, kama sio ile red walikuwa wanabeba tena na mwanaume anabeba tena uchezaji bora.

kwenye club hivyo hivyo mpaka leo goli lake la 2002 la fainali ni moja ya magoli bora kupata tokea.

sasa jiulize mkuu ana magoli machache ila kwanini muhimu sana? siku madrid wakimfunga sijui getafe goli 9 wala zidane hatafunga matano, zidane anakuja kufunga ile mechi ngumu kabisa mechi ambayo mbinu zote zimeshindikana na kila mchezaji kakamatwa ndio zidane utamuona.

jamaa alikuwa hategemei mfumo wa timu, yeye ndio mfumo na ile chenga yake (ya michael laudrup) alikuwa akizichachafya midfield bora duniani, nenda youtube kaangalie france 1 brazil 0 world cup 2006 utajua zidane ni nani, midfield ya dunia kina dinho wapo form walikuwa wakiutafuta mpira.

xavi yeye alikuwa mtegemeaji mfumo, wafunge kina messi, siku barca kashinda 6 basi na yeye atupie mbili, siku mou au chelsea wakipaki basi na yeye haonekani, siku getafe wakikomaa na yeye haonekani, siku rubin kazan wakipiga buti na yeye haonekani etc.

hebu mkuu taja memorable moment za xavi anaamua mechi ya fainali au ana dictate mechi muhimu sana, kama vile zidane fainali zote kubwa yaani UEFA, EURO na World cup.


na pia usisahau point moja ya mwisho zidane anakuwa mchezaji bora wa dunia mara 3 wapinzani wake ni
1. Ronaldo de lima
2. Rivaldo
3. Ronaldinho
4. Figo
5. Beckham
6. Henry
7. Michael owen
8. oliver Khan
9. shevchenko
10. raul etc

kila timu ukigusa kuna watu balaa, yani ikija kuchagua nani bora hata hujui nani anashinda, tofauti na sasa ambapo wachezaji waliodumu kiwango kikubwa ni wawili tu.
Chief agiza kinywaji nakuja kulipa..
 
Zidane ashukuru Mungu amekwepa Era ya kina Messi....unless otherwise tungemsahau
Hao wa kina messi wenu ndio wangepata tabu.. sipingi messi ni bonge la player ila wapo katika kizazi ambacho hakina ushindani, yeye ni bora kawaacha wenzie mbali sana.. zizzou kakipiga na kina gaucho, kila mtu analijua balaa lake, del piero, de lima, rivaldo, figo mwenyewe na wakali kibao utajaza nafasi nilizoacha wazi, mtu kama zidane dunia hii hamna kabisa, sijamuona hata wa kumnyemelea nyayo zake... Hebu mpe heshima yake huyu kiumbe..
 
Umesahau pale Wembley fainal kati ya barca na man u
Ferguson akicheza kiduku huku ameketi kwa kiti
Kwahiyo alicheza kiduku kwasababu ya performance ya Xavi siku hiyo? Hahahahaa
Xavi mchezaji ambaye hata hajawahi ingia kwenye Top 3 ya Ballo Dor ndo unamlinganisha na Zizzou,kua serious aisee mwishoe mtakuja kumlinganisha De Lima na mi na 9 mingine ya ajabu ajabu
 
Kiongozi unakosea sana kumlinganisha Zizo na xavi.

Xavi level yake ni gaucho,, de maria,,hazard,,iniesta n.k.

Zizo sio mahala pake hapo.
 
Kiongozi unakosea sana kumlinganisha Zizo na xavi.

Xavi level yake ni gaucho,, batigoal,, de lima,, de maria and kun aguero

Zizo sio mahala pake hapo.
We nawe ata kulinganisha hujui Xavi na Batistuta hahaha vijana bana
 
Kwahiyo alicheza kiduku kwasababu ya performance ya Xavi siku hiyo? Hahahahaa
Xavi mchezaji ambaye hata hajawahi ingia kwenye Top 3 ya Ballo Dor ndo unamlinganisha na Zizzou,kua serious aisee mwishoe mtakuja kumlinganisha De Lima na mi na 9 mingine ya ajabu ajabu
 

Attachments

  • IMG_2368.jpg
    IMG_2368.jpg
    12.1 KB · Views: 50
Zidane. Xavi ni mzuri lakini level yake ni ndogo sana kuliko ya Zidane. Zidane was one of the most elegant and graceful player ever to play football.

 
Unamfananisha Zidane na Xavi? Zidane mwenye sanamu lake alilochongewa hapo ufaransa.
Zidane ambaye aliamua game ya final world Cup 98 dhidi ya Brazil nyoko ya kina delima,Cuf,Dunga,R.Carlos.Rivaldo na wengi kama hao?
Zidane huyuhuyu aliyeipa ubingwa Madrid Mara ya mwisho Kwa kizazi chao mwaka 2002 Kwa bao namba moja na LA kihistoria kwenye UEFA mpaka Leo.
Zidane ambaye 2006 ili kushinda Italy ilibidi wamprovoke yeye kupitia Kwa Materazzi ndo wapate ahueni japo Kwa matuta huku akiwa ametoka kuwapa shida wa Brazil tena kwenye Robo fainali.
Zidane Mchezaji bora was dunia Mara mbili.
Zidane anacheza mipira ya juu anacheza mipira ya chini.
Zidane anajua mpira was njaa anajua mpira was burudani.
Google hii! King of the first touch control...Namba moja hapo Ni Zidane.

Usimlinganishe na mtu aliyemsubiri Deco amalize ndo na yeye acheze.
 
Unamfananisha Zidane na Xavi? Zidane mwenye sanamu lake alilochongewa hapo ufaransa.
Zidane ambaye aliamua game ya final world Cup 98 dhidi ya Brazil nyoko ya kina delima,Cuf,Dunga,R.Carlos.Rivaldo na wengi kama hao?
Zidane huyuhuyu aliyeipa ubingwa Madrid Mara ya mwisho Kwa kizazi chao mwaka 2002 Kwa bao namba moja na LA kihistoria kwenye UEFA mpaka Leo.
Zidane ambaye 2006 ili kushinda Italy ilibidi wamprovoke yeye kupitia Kwa Materazzi ndo wapate ahueni japo Kwa matuta huku akiwa ametoka kuwapa shida wa Brazil tena kwenye Robo fainali.
Zidane Mchezaji bora was dunia Mara mbili.
Zidane anacheza mipira ya juu anacheza mipira ya chini.
Zidane anajua mpira was njaa anajua mpira was burudani.
Google hii! King of the first touch control...Namba moja hapo Ni Zidane.

Usimlinganishe na mtu aliyemsubiri Deco amalize ndo na yeye acheze.
 
Unamfananisha Zidane na Xavi? Zidane mwenye sanamu lake alilochongewa hapo ufaransa.
Zidane ambaye aliamua game ya final world Cup 98 dhidi ya Brazil nyoko ya kina delima,Cuf,Dunga,R.Carlos.Rivaldo na wengi kama hao?
Zidane huyuhuyu aliyeipa ubingwa Madrid Mara ya mwisho Kwa kizazi chao mwaka 2002 Kwa bao namba moja na LA kihistoria kwenye UEFA mpaka Leo.
Zidane ambaye 2006 ili kushinda Italy ilibidi wamprovoke yeye kupitia Kwa Materazzi ndo wapate ahueni japo Kwa matuta huku akiwa ametoka kuwapa shida wa Brazil tena kwenye Robo fainali.
Zidane Mchezaji bora was dunia Mara mbili.
Zidane anacheza mipira ya juu anacheza mipira ya chini.
Zidane anajua mpira was njaa anajua mpira was burudani.
Google hii! King of the first touch control...Namba moja hapo Ni Zidane.

Usimlinganishe na mtu aliyemsubiri Deco amalize ndo na yeye acheze.
Umeongea vzr, ila Ili ueleweke njoo na statistics za upande wa pili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea vzr, ila Ili ueleweke njoo na statistics za upande wa pili

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Statistics za maana zaidi ya hizo Pasi alizopiga...Simuoni kama super hero hapo Barcelona wala Spain japo ameupiga mpira mwingi...namuweka level moja na kina Schneider...Robben...Ribery...Rooney...Scholes etc.
Simuweki na kina Figo...Zidane...Ronaldo...Gaucho...Rivaldo etc
.
 
Back
Top Bottom