Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Acha upumbavu wewe, unajuwa maana ya choosen from God? Na Mwamposa tumuitaje?
 
Na kama hazina je, kwanini huko kwa Wenzetu zipo? Zina msaada gani Kwao wakati tayari wako mbele Kimaendeleo?
 
Mi nawatambua kama wauaji ambao hawapendi serikali ya ccm ikosolewe....sifa ya kujiunga huko naskia ni kadi ya ccm
 
Aliyekuwa anagombaniwa ndiyo huyo mwanamke wa kichina?
 
Mkuu vijana wanaharibu sana tasnia.
Hakuna upuuzi kule,ukikiuka utafunzwa.
Wakongwe wapo tu palepale heshima yao.
Kuna mmoja anaweza kuvuruga lakini sio wote.
 
Bwana Membe, vijana wengi wanapenda hii kazi, hata kwa kujitolea, sasa kwa uzoefu wako, hii kazi huwa inatangazwa wapi?
Usahili unafanyika wapi?
vigezo huwa ni kitu gani ?
 
Unanichafua futa ulichoandika mapema
 
Usalama wa taifa siyo usalama wa taifa tena umegeuzwa kuwa usalama wa CCM,yamejazana maccm matupu ndio hayo yanayofanya kazi ya kuteka na kuuwa wale ambao wanaipinga ccm ndio hayo yanayo waambia polisi tukiwapoteza musiwatafute,mnafikri porini hua tunakwenda kufanya nini.

Ndio hayo mainjinia ya kuwapitisha CCM bila kupingwa ndio hayo yanayo pora masanduku ya kura,ndio hayo yanayo badira kura halali kuwa mijusi yamejaa kila uchafu wa nchi,polisi kufanya mambo ya hovyo chanzo chake ni haya mausalama ya CCM.
 
Kwenye makaratasi sawa, ila hii ya kwetu kazi Yao ni kuwalinda wa tawala wa, CCM tu, kuhakikisha hawatoki ikulu, nothing else,
Idara za kijasusi, ni Mossad, shabak, CIA, FSB, na ile TISS ya, nyerere, sio hii takataka ya Leo,
Kuna nchi flani bara la Pangea nasikia idara yao ya Usalama wanasaidia wizi wa kura ili Chama twawala kiendelea kubaki madarakani na pia kuteka wapinzani na kuwapoteza!
Tunashukuru angalau hapa nchini kwetu hayo mambo hakuna tunaishi kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ