Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Mkuu vijana wanaharibu sana tasnia.
Hakuna upuuzi kule,ukikiuka utafunzwa.
Wakongwe wapo tu palepale heshima yao.
Kuna mmoja anaweza kuvuruga lakini sio wote.
Walio wengi huko wameoza vibaya Sana, ni watu waovu waliopitiliza hata shetani hafui dafu.
Huku mitaani watu wanazo data zao, isipokuwa wamechagua kukaa kimya Kama vile hawajui kitu chochote kile kuhusu watu hao na mienendo yao.
 
Mlinzi w Husein mwinyi mbona anavaa jwtz bakabaka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…