Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Una Tatzo Uliza Ntakujibu Kwa Usahihi Ila Mimi Ngumu Kuibiwa Mwanamke
Nani Kakudanganya Ukimla Sana Ndo Hachepuki Hebu Achana Na Story Za Vijiweni MkuuInakuwaje kwanza mwanaume unaibiwa? Utakuwa unatatizo mkuu,sana sana kiwango chako kibovu.imarisha kiwango,Fanya mazoezi,kula vizuri ushibe,bamia na nyanya chungu kwa wingi,pumzika vya kutosha ukipata muda,piga show ya ukweli,hutachapiwa nakuambia.
hahahayaan tena za kizaman haswa haswa! poor u
mkuu mbn unapinga vikali? una ushahidi nnhakuna kitu kama hicho my dear
labda mwanamke awe mchafu🙂
hata uoge vipi kitajulikana tu..., bora tu uumwe siku hiyo kunusuru halihiyo point namba moja ya pindi muwapo kitandani umesema utakuta amelowa.....asa inamaana mtakulana kabla hajaoga au?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ntajifanya naumwa...na dawa nitakunywahata uoge vipi kitajulikana tu..., bora tu uumwe siku hiyo kunusuru hali
cocochanel huenda ndo michezo yako naomba tukae mwezi mie nawewe halafu chepuka siku yeyote ile,nisipokugundua ntakupa zawadi nzito
shikamooooooooooooooooooooo coco gal! u said it all ! huenda mtoa mada anahisi huu ni mwaka 1998! goshhhhh! kuna mtu mmoja ananiambiaga ndoa yake mpaka leo alive kwaajili ya mchepuko!!!!!!!!!!!
huenda michepuko wengine ni dawa! (sina hakika)
mtoa mada thread yako ya kitoto hakika!
kwa mara ya 1 coco chanel nimekulike lol!