Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

Inakuwaje kwanza mwanaume unaibiwa? Utakuwa unatatizo mkuu,sana sana kiwango chako kibovu.imarisha kiwango,Fanya mazoezi,kula vizuri ushibe,bamia na nyanya chungu kwa wingi,pumzika vya kutosha ukipata muda,piga show ya ukweli,hutachapiwa nakuambia.
 
Inakuwaje kwanza mwanaume unaibiwa? Utakuwa unatatizo mkuu,sana sana kiwango chako kibovu.imarisha kiwango,Fanya mazoezi,kula vizuri ushibe,bamia na nyanya chungu kwa wingi,pumzika vya kutosha ukipata muda,piga show ya ukweli,hutachapiwa nakuambia.
Nani Kakudanganya Ukimla Sana Ndo Hachepuki Hebu Achana Na Story Za Vijiweni Mkuu
 
shikamooooooooooooooooooooo coco gal! u said it all ! huenda mtoa mada anahisi huu ni mwaka 1998! goshhhhh! kuna mtu mmoja ananiambiaga ndoa yake mpaka leo alive kwaajili ya mchepuko!!!!!!!!!!!
huenda michepuko wengine ni dawa! (sina hakika)
mtoa mada thread yako ya kitoto hakika!

kwa mara ya 1 coco chanel nimekulike lol!


Karibu. Naona amekunika haswaaaaa, bado anahitaji kuyajua eeeeh
Cheo anachokitaka bado kabisaaaaaaaa
 
He!, Eddy, mwanamke akikaa muda mrefu katika shughuli za kawaida mpaka jioni, lazima utamsikia ananuka jasho pamoja na harufu za kike , na harufu hizo, hazina tofauti na anayetoja kuchepuka. Kama unafikiri utamkagua mkeo kwa njia hizo, umepotea maboya. Njia unatoitangaza, labda itakusaidia kuitumia kwa ambaye si mzoefu au bado mchanga ambaye hajazaa. Kwa aliyezaa nzao mbili, au tatu, unajisumbua tu. Kwanza ujue kuwa, mkeo anapopanga kwenda nje ya ndoa, huwa anapanga karata zake vizuri ili usimgundue. Ili usimgundue, atahakikisha anakaa Massa sita baada ya kupigwa , na anapiga maji kila baada ya dakika 40. Baada ya masaa sita akikuletea imesharudi kama ilivokua.. Nikusaidie ujue. Wanawake wenye heshma zako kwa Waume zao, huchepuka saa mbili asubuhi hadi saa tano .Huo ni muda mzuri kwa kuwa saa 12jioni itakuwa imesha fikisha SAA sita. Je kuna haja gani ya kumkagua mkeo kama alichepuka kati ya saa mbili asubuhi, na saa tano? .. Vile vile usisahau kuwa yapo madawa ya kuoshea baada ya kufanya, ndani ya dakika 40, kama vile hakuchepuka.. Kuna vijimimea aina ya mimosa, mmea huu unapougusa majani yake yanajikunja kisha baada ya muda yanakunjuka . mmea huu huwa wanaponda ponda na kuloweka ktk maji. Anapomaliza kuchepuka, anaoshea maji hayo.. Je , upo hapo brother?, chungu hakiogopi moto.
 
Back
Top Bottom