Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

naona umezidi kukomaa pale pale dah!



siku mkjua kuwa wanwake wanataka nini siredi km hizi hazitakuepo! ni vile hamjui (na wengne bado hamjaoa mnageneralise tu kuwa mwanamke ht umpe nini haridhiki! huo msemo mie naupinga kwangv zoote!
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
1.mchunguze kama amerudi na mtindo tofauti wa nywere tofauti na alioondoka nao.kama alitoka amejidodeka ma lipstick, hatarudi nayo.


2.mara nyingi wanaporudi hubadili nguo haraka hasa za ndani na kuzificha au kuzifua kwani hizi hutunza sana harufu hasa ya mipira ya kiume na jasho.lkn hapa kama una pua kama za mbwa, aisee hata aoge au kuzifua utajua tu😀


3.kama alikuwa hataki kushiriki na wewe bila kinga, then ghafla akabadilika, siku chache baadaye akadai mjamzito,🙁


4.kwakuwa mtindo maarufu ni missionary ambao hufanya miguu kuelea angani kwa muda mrefu, hii huchosha misuli, hii huathili mwendo wake au hata kusimama kwa muda mrefu hivyo mtu huyu huitaji mapumziko.Ili kupata muda wa kupumzika na hata kuepuka udadisi, mhusika huleta visingizio ikiwemo kuuumwa.


5.Kama alivaa nguo nyeupe basi sehemu za matiti huwa na madoa ya uchafu wa mikono sababu wanaume mara nyingi huanziaga hapo.


Angalizo:nyingi ya njia hizi na nyinginezo hutumika zaidi kwa wale begginers, lkn kwa yale ma kalumbembe ya mjini utakwama, labda utiemo ka video recorder.😀
 
siku mkjua kuwa wanwake wanataka nini siredi km hizi hazitakuepo! ni vile hamjui (na wengne bado hamjaoa mnageneralise tu kuwa mwanamke ht umpe nini haridhiki! huo msemo mie naupinga kwangv zoote!
hebu nambie kwa wewe kama wewe unataka vitu vipi kwa mwanaume?
 
1.mchunguze kama amerudi na mtindo tofauti wa nywere tofauti na alioondoka nao.kama alitoka amejidodeka ma lipstick, hatarudi nayo.


2.mara nyingi wanaporudi hubadili nguo haraka hasa za ndani na kuzificha au kuzifua kwani hizi hutunza sana harufu hasa ya mipira ya kiume na jasho.lkn hapa kama una pua kama za mbwa, aisee hata aoge au kuzifua utajua tu😀


3.kama alikuwa hataki kushiriki na wewe bila kinga, then ghafla akabadilika, siku chache baadaye akadai mjamzito,🙁


4.kwakuwa mtindo maarufu ni missionary ambao hufanya miguu kuelea angani kwa muda mrefu, hii huchosha misuli, hii huathili mwendo wake au hata kusimama kwa muda mrefu hivyo mtu huyu huitaji mapumziko.Ili kupata muda wa kupumzika na hata kuepuka udadisi, mhusika huleta visingizio ikiwemo kuuumwa.


5.Kama alivaa nguo nyeupe basi sehemu za matiti huwa na madoa ya uchafu wa mikono sababu wanaume mara nyingi huanziaga hapo.


Angalizo:nyingi ya njia hizi na nyinginezo hutumika zaidi kwa wale begginers, lkn kwa yale ma kalumbembe ya mjini utakwama, labda utiemo ka video recorder.😀
safi kwa nyongeza
 
hebu nambie kwa wewe kama wewe unataka vitu vipi kwa mwanaume?




1.anijali km mke
2.asiwe mbinafsi(hii imebeba mambo meng kias kwajili hujaoa nisingependa nikukuze ubongo wako)
hakuna mwanaume anaeboa km MBINAFSI JAMAN!
 
siku mkjua kuwa wanwake wanataka nini siredi km hizi hazitakuepo! ni vile hamjui (na wengne bado hamjaoa mnageneralise tu kuwa mwanamke ht umpe nini haridhiki! huo msemo mie naupinga kwangv zoote!
Ebu twambie basi kidogo ili tijipange kuingia kwenye ndoa
 
Back
Top Bottom