Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo trick ya ugoro nipatie tafadhaliununue ugolo kabisa nikupe trick nyingine yakumbaini
Baba D wangu vipiii jamaan[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbee
naona umezidi kukomaa pale pale dah!
nlikua natania tu usihisi kama nipo seriousKuchanga shahawa kwenye tundu moja, kunasababisha
natania banahuzimalizi, bora ukitulize tu
hebu nambie kwa wewe kama wewe unataka vitu vipi kwa mwanaume?siku mkjua kuwa wanwake wanataka nini siredi km hizi hazitakuepo! ni vile hamjui (na wengne bado hamjaoa mnageneralise tu kuwa mwanamke ht umpe nini haridhiki! huo msemo mie naupinga kwangv zoote!
safi kwa nyongeza1.mchunguze kama amerudi na mtindo tofauti wa nywere tofauti na alioondoka nao.kama alitoka amejidodeka ma lipstick, hatarudi nayo.
2.mara nyingi wanaporudi hubadili nguo haraka hasa za ndani na kuzificha au kuzifua kwani hizi hutunza sana harufu hasa ya mipira ya kiume na jasho.lkn hapa kama una pua kama za mbwa, aisee hata aoge au kuzifua utajua tu😀
3.kama alikuwa hataki kushiriki na wewe bila kinga, then ghafla akabadilika, siku chache baadaye akadai mjamzito,🙁
4.kwakuwa mtindo maarufu ni missionary ambao hufanya miguu kuelea angani kwa muda mrefu, hii huchosha misuli, hii huathili mwendo wake au hata kusimama kwa muda mrefu hivyo mtu huyu huitaji mapumziko.Ili kupata muda wa kupumzika na hata kuepuka udadisi, mhusika huleta visingizio ikiwemo kuuumwa.
5.Kama alivaa nguo nyeupe basi sehemu za matiti huwa na madoa ya uchafu wa mikono sababu wanaume mara nyingi huanziaga hapo.
Angalizo:nyingi ya njia hizi na nyinginezo hutumika zaidi kwa wale begginers, lkn kwa yale ma kalumbembe ya mjini utakwama, labda utiemo ka video recorder.😀
hebu nambie kwa wewe kama wewe unataka vitu vipi kwa mwanaume?
Ebu twambie basi kidogo ili tijipange kuingia kwenye ndoasiku mkjua kuwa wanwake wanataka nini siredi km hizi hazitakuepo! ni vile hamjui (na wengne bado hamjaoa mnageneralise tu kuwa mwanamke ht umpe nini haridhiki! huo msemo mie naupinga kwangv zoote!