KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,049
Tabia yake
Oil inakuwa nyepesi jinsi inayopata joto na kuwa nzito jinsi inavyopoa. Kwahiyo kufahamu viscosity sahihi kwenye cold start na operating temperature ni muhimu!
Viscosity ni resistance ya oil kuflow.. Kwahiyo oil yenye viscosity kubwa ni ngumu kuflow hence nzito zaidi..!
Kazi yake
Kulainisha msuguano wa vyuma ndani ya engine!
Oil pump inaizungusha oil kwenye sehemu za engine kama damu inavyozungushwa kwenye mishipa..
Wakati inarudi kwenye sump inakutana na oil filter ambayo inachuja uchafu na kuhakikisha oil inavyozungushwa ipo vizuri.
Sump huwa inakuwa chini kabisa ya gari, as gari inatembea cold air inapooza oil kwenye sump na kusaidia kutoa joto kwenye engine.
Aina zake
Mineral oil - hii inatokana na kuchujwa kwa crude oil..haina mambo mengi kwenye uzalishaji wake..molecules zake hazipo uniform.. Kwahiyo flow sio nzuri..bei ipo chini.. Interval ya service nayo ni karibu karibu..!
Semi Synthetic na Synthetic oil - hizi zipo very refined.. Hasa hasa synthetic.. Ni oil zinazotengenezwa LAB kwa formula.. Kwahiyo molecules zake zipo uniform.. Flow inakuwa nzuri. Interval yake unaenda kilometers nyingi..
Hapa panahitaji umakini.. Oil inaweza kuwa nzuri kwa kilometers nyingi ila oil filter isiwe na uwezo wa kwenda kilometers nyingi.
Grading ya Oil
Oil imekuwa graded na hawa SAE kwenye makundi 2. Monograde na Multigrade.
Mono kama jina lake.. Ina viscosity moja throughout. Wakati Multi ni zaidi ya moja.
MFANO wa Monograde SAE40.. Hii inakuwa na viscosity ya 40 kuanzia cold start mpaka operating temperature.. Kwahiyo ukiwasha gari inabidi uipe muda kidogo ili oil ipande vizuri kwenye engine.. Unaweza ukawasha gari then ukaenda kuoga.. Mpaka ukitoka mambo yamekaa sawa.
Hizi zinafaa kwa mazingira ambayo hakuna temperature change kubwa kwenye seasons kama hapa TZ..!
Mfano wa Multigrade 5W40.. Hii inabehave kama oil ya 5 viscosity kwenye cold start na 40 viscosity kwenye operating temperature.
Kwahiyo ukiwasha tuu gari. Oil itapanda chap kwenye engine haihitaji kusubiri muda. Hizi zinafaa kwenye mazingira yenye mabadiliko makubwa ya temperature ndani ya mwaka.
Hii inapunguza usumbufu wa kubadilisha oil wakati wa winter na summer.
0W40 ni nyepesi zaidi ya 5W30 kwenye winter(cold start) ila ni nzito zaidi kwenye summer(operating temperature).!
Oil inakuwa nyepesi jinsi inayopata joto na kuwa nzito jinsi inavyopoa. Kwahiyo kufahamu viscosity sahihi kwenye cold start na operating temperature ni muhimu!
Viscosity ni resistance ya oil kuflow.. Kwahiyo oil yenye viscosity kubwa ni ngumu kuflow hence nzito zaidi..!
Kazi yake
Kulainisha msuguano wa vyuma ndani ya engine!
Oil pump inaizungusha oil kwenye sehemu za engine kama damu inavyozungushwa kwenye mishipa..
Wakati inarudi kwenye sump inakutana na oil filter ambayo inachuja uchafu na kuhakikisha oil inavyozungushwa ipo vizuri.
Sump huwa inakuwa chini kabisa ya gari, as gari inatembea cold air inapooza oil kwenye sump na kusaidia kutoa joto kwenye engine.
Aina zake
Mineral oil - hii inatokana na kuchujwa kwa crude oil..haina mambo mengi kwenye uzalishaji wake..molecules zake hazipo uniform.. Kwahiyo flow sio nzuri..bei ipo chini.. Interval ya service nayo ni karibu karibu..!
Semi Synthetic na Synthetic oil - hizi zipo very refined.. Hasa hasa synthetic.. Ni oil zinazotengenezwa LAB kwa formula.. Kwahiyo molecules zake zipo uniform.. Flow inakuwa nzuri. Interval yake unaenda kilometers nyingi..
Hapa panahitaji umakini.. Oil inaweza kuwa nzuri kwa kilometers nyingi ila oil filter isiwe na uwezo wa kwenda kilometers nyingi.
Grading ya Oil
Oil imekuwa graded na hawa SAE kwenye makundi 2. Monograde na Multigrade.
Mono kama jina lake.. Ina viscosity moja throughout. Wakati Multi ni zaidi ya moja.
MFANO wa Monograde SAE40.. Hii inakuwa na viscosity ya 40 kuanzia cold start mpaka operating temperature.. Kwahiyo ukiwasha gari inabidi uipe muda kidogo ili oil ipande vizuri kwenye engine.. Unaweza ukawasha gari then ukaenda kuoga.. Mpaka ukitoka mambo yamekaa sawa.
Hizi zinafaa kwa mazingira ambayo hakuna temperature change kubwa kwenye seasons kama hapa TZ..!
Mfano wa Multigrade 5W40.. Hii inabehave kama oil ya 5 viscosity kwenye cold start na 40 viscosity kwenye operating temperature.
Kwahiyo ukiwasha tuu gari. Oil itapanda chap kwenye engine haihitaji kusubiri muda. Hizi zinafaa kwenye mazingira yenye mabadiliko makubwa ya temperature ndani ya mwaka.
Hii inapunguza usumbufu wa kubadilisha oil wakati wa winter na summer.
0W40 ni nyepesi zaidi ya 5W30 kwenye winter(cold start) ila ni nzito zaidi kwenye summer(operating temperature).!