Hao Hao Ndiyo Vinara Wetu Wa Kuchukua KIWIHii ni hatari sana. Na usikute trafiki ndiyo watakuwa wametubeba kwenye hiyo orodha.
Ulichoandika unakijua lakini? Tanzania ni No. 2 from least to most corrupt out of 8 countries halafu ni ya pili kwa rushwa! Dah!Wakuu,
Taasisi ya Transparency International imeorodhesha nchi zinazoongoza kwa rushwa duniani na kwa Afrika Mashariki Tanzania inashika namba 2
Source: Buzzroom Kenya, Transparency International
Sasa Katiba Mpya Huwa zinawasaidia nini? 😁😁Wakenya rushwa ipo mbele
Sawa kwani ishu si ni content tuu au?Hizo ni takwimu za mwaka 23/24. Na source iliyotumika hapo ni https://www.transparency.org/en/publications-toolkits-courses-videos
Kula maandaziSasa Katiba Mpya Huwa zinawasaidia nini? 😁😁
Wazee wa katiba Mpya kwani wanasemaje?Wakuu,
Taasisi ya Transparency International imeorodhesha nchi zinazoongoza kwa rushwa duniani na kwa Afrika Mashariki Tanzania inashika namba 2
Source: Buzzroom Kenya, Transparency International
Issue sio content issue ni takwimu za kupikaSawa kwani ishu si ni content tuu au?
Nani kapika Sasa?Issue sio content issue ni takwimu za kupika
Na Hilo Ndilo Tulilolifanya,Shaka OndoaNinavyoijua nchi yangu usikute hata iyo nafasi ya pili tumeipata kwa kutoa rushwa.
Mkuu Lugha ya Kigeni ni shida kwa wengi wao hata kama wanajifanya wanaijua akiwemo mtoa post! Ahahahahaha!!...from least to most corrupt
Hujaelewa hiyo lugha hapo wanamaanisha zenye kiwango kidogo cha rushwa kwenda viwango vikubwa, Kwa list hiyo Rwanda ni namba 1 kwa rushwa kidogo na Tanzania ni ya pili
Sasa Katiba Mpya Huwa zinawasaidia nini? 😁😁