Huo unga wanatumiaje mkuu?2. Nchini Pakistani, Wakati wabongo wanavuta bangi na shisha basi wapakistani wao wanavuta unga wa nge. walevi hawa huchukua Nge aliekufa na kumsaga kupata unga wake. unga ambao huchanganya na tumbaku au hashish.
unaambiwa stimu ya huu mchanganyiko unaweza dumu mpaka masaa 10View attachment 3270070
pesa sio utamaduni wetu, ni utamaduni ulioigwa kwa wazungu, sema ukweli ndio maana badala ya kutafuta za kwako unasubiri za kupewaNa tamadun yetu pesa kwanza 😹
Mambo ni mengi kiongozi 😹pesa sio utamaduni wetu, ni utamaduni ulioigwa kwa wazungu, sema ukweli ndio maana badala ya kutafuta za kwako unasubiri za kupewa
muda nao ni mchacheMambo ni mengi kiongozi 😹
Hii si Bongo tu.Za bongo
1. Ukimuuliza mtu swali yeye hukuuliza swali badala ya kutoa jubu kwanza ndo ahoji
Hehehe!Huo unga wanatumiaje mkuu?
Kask what!!!!!!Zipo Mila nyingi za hadi watu kuzaa na mama zao.
Pia hapa bongo kuna kabila la kaskazini baba ndo uanza kubikiri bintie