Zifahamu tamaduni za ajabu na kushangaza zaidi duniani

Zifahamu tamaduni za ajabu na kushangaza zaidi duniani

La tomatina tumeicheza sana utotoni. Tulikuwa tunapendelea nyanya masalo ukipigwa nalo linapasuka lote na kukuchafua. Kingine pia tulipendelea mayai viza likikundunda linakuachia harufu mbaya
 
Mwaka 1918 foot binding ilizuiwa. Walikuwa wanafunga na waya na bendeji mpka mguu unakuwa hivi. Huu utamaduni uliletwq na msanii mmoja hiv aliyewahi kutumbuiza mbele ya prince na kupendwa kwani alivaa viatu hivyo vikakaa sawia. Toka kipindi hiko, ikawq kama imeingia fashenj mpya ya urembo china.
. Nchini china, Mabinti walikua wakifunga miguu yao ili kupata mguu unaofanania na ua lotus "Lotus Feet" binti mwenye mguu wa namna hii alikua akionekana ni mrembo na mwenye hadhi kubwa. serikali ya china ilipiga marufuku utamaduni huu mwanzoni mwa miaka ya 1900.View attachment 3270140View attachment 3270141
 
Kuna ile nayo sijui
La tomatina tumeicheza sana utotoni. Tulikuwa tunapendelea nyanya masalo ukipigwa nalo linapasuka lote na kukuchafua. Kingine pia tulipendelea mayai viza likikundunda linakuachia harufu mbaya
Mayai viza yalihusisha ugomvi wa vijiji zaidi😂
 
6. Nchini Indonesia kama ilivyo Madagascar napo huwafukua wapendwa wao na kuwavika nguo mpya kama ishara ya kuwakumbuka na kusheherekea maisha yao maisha yao wakati wako hai.

Utofauti wa Madagascar na Indonesia ni kwamba Madagascar wanawatoa wapendwa wao mwaka wa 7 tangu kufariki kisha ,kila baada ya miaka yenye namba witiri kama vile 5, 7 au 9 huku Indonesia wakiwatoa kila baada ya mwaka mmojView attachment 3270139a
Fan fact: wakazi wa Madagascar ni mchanganyiko wa waafrika na watu wenye asili ya Indonesia na maeneo mengine jirani , kinachoendelea Madagascar ni tamaduni za huko Indonesia
 
1742046666538.jpg
Near the Southern tips of 🇦🇴 Angola, reside the Mbalantu tribes of 🇳🇦 Namibia. Mbalantu women are known for their headdresses. At the age of twelve, young girls in Mbalantu tribes begin preparing their hair.

Girls are made to, first of all, coat their hair in a thick paste made from finely ground tree bark of the omutyuula tree mixed with fat.

The young girls will live with this thick mixture on their scalp for years before it is subsequently loosened to make the hair visible. Fruit pips of the bird plum are then attached to the ends of the hair with sinew strings.

At the age of 16, long sinew strands that reach the ground are attached to the hair of these girls.

They also go through the Ohango Initiation (a ceremony that gets them accepted as women) in the same year but before this, the hair of the girls is styled into four long, thick braids, known as eembuvi. Now seen as women, their hair goes through another change. A new layer of the tree bark and oil mixture is applied to the hair to ensure further growth.

The long plaits are subsequently arranged into a headdress, which is to show that a woman was married.

Historical records indicate that this headdress was so heavy to the extent that the “upper ends were often attached to a piece of rope or skin, which was fastened around the forehead in order to distribute the load more evenly.”

A woman had to wear this style for several years after marriage but should change it to mirror a new status, such as the birth of a child.

These unique Eembuvi braids re-emerged in the 90’s as Box Braids and have since become an inspiration for many people across the world, even though they are not as long and thick as the Mbalantus.

Shuri's look in Black Panther was inspired by the Mbalantu hairstyle.
 
Nchini Tanzania mkoa wa Dodoma vijijin bado mabinti wadogo anakatwa antena zao hili jambo ni la kustaajabisha sana😔
 
Back
Top Bottom