πππ Hii ikija kwa wenzangu hapa bongo badala ya kunyonya watapiga mashine kabsaCredit: legend wa Twitter X
Huyu nae vidole vipi ni ukoma?!Zifahamu tamaduni za ajabu na kushangaza zaidi dunianiView attachment 3270069
Duh9. katika Kabila la Suri nchini Ethiopia, inaaminika ili ng'ombe atoe maziwa mengi inabidi anyonywe sehemu zake za siri huku kisese chake kikitomaswa tomaswaView attachment 3270144View attachment 3270145
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!2. Nchini Pakistani, Wakati wabongo wanavuta bangi na shisha basi wapakistani wao wanavuta unga wa nge. walevi hawa huchukua Nge aliekufa na kumsaga kupata unga wake. unga ambao huchanganya na tumbaku au hashish.
unaambiwa stimu ya huu mchanganyiko unaweza dumu mpaka masaa 10View attachment 3270070
Uchizi is Inevitable3. Nchini uhispania kuna sherehe (festival) inaitwa "La Tomatina" ambayo ni kama vita ya nyanya. kwenye sherehe hizi watu wanabondana na nyanya for fun kusherehekea siku hiyo. unaambiwa zaidi ya nyanya 150000 zilitumika kwenye La Tomatina ya mwaka 2023.
sherehe hizi zimekua kivutio View attachment 3270072cha watalii wengi kutembelea hispania wakati wa sherehe hizi.View attachment 3270071
kwamba wanamsaga ng'ombe, duh.9. katika Kabila la Suri nchini Ethiopia, inaaminika ili ng'ombe atoe maziwa mengi inabidi anyonywe sehemu zake za siri huku kisese chake kikitomaswa tomaswaView attachment 3270144View attachment 3270145
Mbona hii ni dunia nzimaZa bongo
1. Ukimuuliza mtu swali yeye hukuuliza swali badala ya kutoa jubu kwanza ndo ahoji
Kwa tamaduni hii kijana huwezi kuwa legelege.4. Nchini Brazil, Vijana huvaa Gloves zilizotengenezwa kiasili zilizo jazwa siafu wenye sumu (bullet ants) ili kuonesha ujasiri na kuthibitisha uanaume waView attachment 3270136
Hawaozi?6. Nchini Indonesia kama ilivyo Madagascar napo huwafukua wapendwa wao na kuwavika nguo mpya kama ishara ya kuwakumbuka na kusheherekea maisha yao maisha yao wakati wako hai.
Utofauti wa Madagascar na Indonesia ni kwamba Madagascar wanawatoa wapendwa wao mwaka wa 7 tangu kufariki kisha ,kila baada ya miaka yenye namba witiri kama vile 5, 7 au 9 huku Indonesia wakiwatoa kila baada ya mwaka mmojView attachment 3270139a
la tomatina unatikiwa udundwe nayo na uvutishwe unga wa nge pengine akili itakukaa vema. Umeambiwa nenda VETA ukapate ufundi ujiajiri. povu linakutokaHuko TZ utamaduni wao ni kuwa ukishamaliza masomo ya chuo kikuu unatakiwa uende VETA. Hayo ni kwa mujibu wa waziri mkuu wao amabaye kitaaluma ni mwalimu ambaye baada ya kumaliza certificate yake ya ualimu hakwenda VETA badala yake alishika chaki huku akiendelea na uchawa kwenye chama chakavu hadi akawa mkuu wa wilaya hadi waziri mkuu. Sasa ndio kashashiba kodi zao anataka wanaomaliza degrees waende VETA
hivi waziri mkuu ana degree kweli ?Huko TZ utamaduni wao ni kuwa ukishamaliza masomo ya chuo kikuu unatakiwa uende VETA. Hayo ni kwa mujibu wa waziri mkuu wao amabaye kitaaluma ni mwalimu ambaye baada ya kumaliza certificate yake ya ualimu hakwenda VETA badala yake alishika chaki huku akiendelea na uchawa kwenye chama chakavu hadi akawa mkuu wa wilaya hadi waziri mkuu. Sasa ndio kashashiba kodi zao anataka wanaomaliza degrees waende VETA