Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Magugu ndio kama lango la kuingia Babati Mjini ukitokea Arusha MkuuHimo miaka yote ni pakawaida amna cha kenya wala nini! Hapo labda babati tu. Ila umesahau sehemu kama magugu na kateshi sana sana magugu panajengeka sana.
Kiashiria kikubwa cha kujua mahali pana kuwa kwa kasi ni ujenzi endelevu......
Ila wakuu mji wa arusha pembezoni panakuwa kila siku yaani kila leo...
Nitakomaa kaskazini lakini dodoma hunipeleki wala shinyanga wala kahama. Singida ndiyo sitaki kupasikia....
Ni sahihi mkuu.Magugu ndio kama lango la kuingia Babati Mjini ukitokea Arusha Mkuu
Ni kweli..Mwaka jana miezi ya April Mkuu, nilidanya ziara ya kuuzunguka mkoa mzima wa Manyara lengo lilikuwa kuangalia fursa binafsi nikaona Babati mjini panakuja kwa kasi sana.
Naweza kusema baada ya muda mfupi ujao patabadilika sana.
SawasawaMagugu ndio kama lango la kuingia Babati Mjini ukitokea Arusha Mkuu
Nina mpango wakupatembelea tena kabla huu mwezi haujaisha, nikajionee mabadiliko nifanye jambo pale Mkuu.Ni kweli..
Sawasawa mkuu..Nina mpango wakupatembelea tena kabla huu mwezi haujaisha, nikajionee mabadiliko nifanye jambo pale Mkuu.
Sensa ipi tenaSensa itatueleza ukweli
Mkuu mbona una jazba kwani kuna kosa gani kuongea kikabila??Karatu vumbi linatimka namna ile inakua nini? Watu wake kazi kuongea kikabila tu mitaani pasi kujali kama Kuna watu wa makabila mengine, Karatu Haina lolote, kwanza mapato yanaanzia kuingia mkoani Arusha Kisha wilaya ya Ngorongoro, pale Karatu wanakutana na vihela vya madereva tours wanahonga wale wadada wasiochagua wanaume, yaani huo mji nimekaa miaka mitatu hakuna mtu atanidanganya, pa kishenzi na hapana lolote la maana
So what?Zifahamu wilaya 5 kwa uwekezaji na biashara kanda ya kaskazini....Kilimanjaro, Arusha, Tanga na Manyara.
1. KARATU. Hii ipo namba 1 sababu kuu ni kiungo cha utalii kwa nchi ya Tanzania na pia ni mapito ya barabara kutoka Arusha to Mara na barabara ya Arusha To Maswa.
2. BABATI. Ni mji unaokua kwa haraka sababu kuu ni Makao makuu ya mkoa wa Manyara pia huzungukwa na wilaya Za Kondoa, Hanang na mbulu zinazoitegemea kiuchumi, pia inachagizwa na uwepo wa karibu wa majiji ya Dodoma na Arusha ukiachilia mbali barabara ya Moshi kuelelea Singida, Tabora na Kanda ya Ziwa.
3. SAME. Mji huu unakuwa kwa kasi kutokana na idadi kubwa ya watu ndani ya wilaya hii kupelekea kuwa na majimbo mawili ya uchaguzi na pia kutokana na umbali wa Miji mikubwa kutokuwa karibu yaani Tanga jiji na Manispaa ya moshi, hivyo Same hubeba mahitaji ya maeneo jirani mfano Lushoto, Mwanga na Simanjiro.
4. HIMO. Huu ni mji ndani ya Wilaya ya Moshi vijijini, Himo imeibeba njia panda ambapo kuna mizani kubwa zinazohudumia barabara inayoelekea Arusha To Dar, Tanga na Kuelekea Kenya katika bandari ya Mombasa. Eneo hili linakua zaidi kibiashara sabubu kuu ikiwa n uwingi wa watu katika wilaya hii kubwa katika mkoa wa kilimanjaro hivyo mahitaji muhimu huanzia na kupatikana hapa, pia soko kubwa la mahindi na nafaka nyingine lipo Himo.
5.MKINGA .. Wilaya mpya mkoani Tanga inayohitaji uwekezaji mkubwa hivyo kuibua fursa nyingi kwa wanaohitaji kuanza biashara mpya.
Wilaya nyingine nyingi kwa kaskazini mwendo wake sio mkubwa kimaendeleo kama hizo tajwa hapo. Ni maoni binafsi sio ya serikali.
Karatu kunatimka vumbi na tope la kutosha sasa inakua kiuchumi vipi? Watu wachache wafanya biashara za mahotel tu ndo wenye kuvuna pesaKaratu nakubaliana na wewe kabisa
We farasi nini?Baki kwenu kama ni pakishenzi na pia huwapangia watu kuongea kikabila kama wewe ni mzamiaji je umewahi kuongea kiswahili wakakwambia hawataki kuongea?
Hujielewi weweWe farasi nini?
Jinga kubwa wewe huna lolote ni mpumbavu tuHujielewi wewe
Samahani, nje ya mada...Kwani mkoa wa Tanga ni upo ukanda wa Kaskazini...?Zifahamu wilaya 5 kwa uwekezaji na biashara kanda ya kaskazini....Kilimanjaro, Arusha, Tanga na Manyara.
1. KARATU. Hii ipo namba 1 sababu kuu ni kiungo cha utalii kwa nchi ya Tanzania na pia ni mapito ya barabara kutoka Arusha to Mara na barabara ya Arusha To Maswa.
2. BABATI. Ni mji unaokua kwa haraka sababu kuu ni Makao makuu ya mkoa wa Manyara pia huzungukwa na wilaya Za Kondoa, Hanang na mbulu zinazoitegemea kiuchumi, pia inachagizwa na uwepo wa karibu wa majiji ya Dodoma na Arusha ukiachilia mbali barabara ya Moshi kuelelea Singida, Tabora na Kanda ya Ziwa.
3. SAME. Mji huu unakuwa kwa kasi kutokana na idadi kubwa ya watu ndani ya wilaya hii kupelekea kuwa na majimbo mawili ya uchaguzi na pia kutokana na umbali wa Miji mikubwa kutokuwa karibu yaani Tanga jiji na Manispaa ya moshi, hivyo Same hubeba mahitaji ya maeneo jirani mfano Lushoto, Mwanga na Simanjiro.
4. HIMO. Huu ni mji ndani ya Wilaya ya Moshi vijijini, Himo imeibeba njia panda ambapo kuna mizani kubwa zinazohudumia barabara inayoelekea Arusha To Dar, Tanga na Kuelekea Kenya katika bandari ya Mombasa. Eneo hili linakua zaidi kibiashara sabubu kuu ikiwa n uwingi wa watu katika wilaya hii kubwa katika mkoa wa kilimanjaro hivyo mahitaji muhimu huanzia na kupatikana hapa, pia soko kubwa la mahindi na nafaka nyingine lipo Himo.
5.MKINGA .. Wilaya mpya mkoani Tanga inayohitaji uwekezaji mkubwa hivyo kuibua fursa nyingi kwa wanaohitaji kuanza biashara mpya.
Wilaya nyingine nyingi kwa kaskazini mwendo wake sio mkubwa kimaendeleo kama hizo tajwa hapo. Ni maoni binafsi sio ya serikali.
Tanga si mkoa wa ukanda wa Pwani ambapo ipo na Moro,Pwani na Dar,,jamani amaNdyo
Tanga si mkoa wa ukanda wa Pwani ambapo ipo na Moro,Pwani na Dar,,jamani ama
Zilikuwa ,ila kwasasa siyo......wilaya za Same na Mwanga wakati wa ukoloni, kabla mikoa haijaanzishwa, zilikuwa sehemu ya Jimbo la Tanga / Tanga Province.