Zifuatazo ni nchi zilizokubuhu katika unywaji wa pombe Afrika; angalia nafasi ya Tanzania, East African Community yatia fora

Zifuatazo ni nchi zilizokubuhu katika unywaji wa pombe Afrika; angalia nafasi ya Tanzania, East African Community yatia fora

Sasa hawa wanywaji wanaojifanya wanaamka nazo jumatatu...kwamba wanakula bata weekend wakituonesha mavinywaji, kumbe hata hapo DRC wamewapiga gap kama ardhi na mbingu?

Tunaweza nini sasa? Watu wako vitani tangu sijazaliwa, wanapiga kamnyweso kuliko wenye uhuru miaka 60 bila mapigano.

Kuanzia leo, muache kuposti machupa yenu mkiwa bar huko!
 
An

Below are African countries with the highest beer consumption per capita:​

RankCountryBeer Consumption per capitaGlobal Rank
1Namibia95.5 L6
2Gabon67 L25
3South Africa60.1 L28
4Democratic Republic of the Congo54.8 L35
5Kenya12 L52
6Tanzania8 L57
7Uganda6 L58
Angalau Tanzania tumepata cha kujivunia. Tupo top 7. Serikali ya SSH OYEEEE
 
ILE HAIKUA POMBE KWANI WAMEANDIKA POMBE AU KILEO PALE.... UNAELEWA NINI MAANA YA DIVAI KWA UELEWA WAKO??

AU MWENZETU KILA DIVAI NI POMBE
Kwahiyo Divai ni nini!? Na ujue zama zile pombe haikuwa haramu ila ulevi kupitiliza ndo ulikatazwa.
 
Utasikia kiongozi chawa

"Pongezi ziende kwa serikali ya awamu ya 6 chini ya SAMIA SULUHU tanzania ipo nafasi ya 7 kwa unywaji wa bia, hii inaonesha tanzania ni nchi ya amani, na vipato vizuri ndio maana watu wanakunywa kusherehekea."

😂🤣
 
Back
Top Bottom