Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna fununu kua ata Mwl.alichukia urasta
I and I kaka sio eye na hiyo inaonyesha umoja na upendo sio you and I inaashiria utengano;We are oneEye and Eye....Jah never die...peace and love...Jahbless rasta......
Mwalimu hakuchukia Urasta na hata mmoja ya wakwe zake na Mtu wa karibu pale Nyerere Foundation alikua Rasta;kama uliangalia msiba wa Nyerere kulikua na Dread mmoja alikua mstari wa mbele!Aliwapa kipandw kikubwa cha ardhi ili walimeKuna fununu kua ata Mwl.alichukia urasta
Siyo wachafu.ni kwa sababu ya asili.labda umkute tu mtu mchafu yeye kama yeye,unajua rasta mala nyingi hifanya kazi za asili hasa za shamba au sanaa,kazi hizo akiwa nazo busy utamkuta yuko mchafumchafu japo naamini uchafu ni mtu mwenyeweIla wengi ni WACHAFU
Siyo wachafu.ni kwa sababu ya asili.labda umkute tu mtu mchafu yeye kama yeye,unajua rasta mala nyingi hifanya kazi za asili hasa za shamba au sanaa,kazi hizo akiwa nazo busy utamkuta yuko mchafumchafu japo naamini uchafu ni mtu mwenyewe
Tungeongea ukiwa unanitazama na mimi hapa tungeelewana kua Rasta na uchafu ni mtu mwenyewe tu kujilazimisha au kua busy na kaziHapana mkuu. Marastafari wengu ni wachafu wa mwili, na mavazi!
Si kwa hawa walipo Afrika tu bali hata wa kule Carribians. Nadhaniule utamaduni wa kujiona ni waasili na kwamba wanaundugu na mazingira halisi umeawaathiri sana.
Unaweza ukawa na ndevu, lakini ukaziwrka katika hali ya usafi pia radta unaweza ukazitunza uzuri kabisa. Ila hawa hawafanyi haya.
Ukitaka kuona haya angalia hata nyimbo za raggie uwaone wengi ni wachafu!
hahahahaa wewe sio rasta maana una hasira za karibu sanahuo ndo u..s..enge wenyew.
unaquote habar nzima ili tu mwishoni uandike haka kaushuzi kako et!!!!