Ngumu kuwaelewa hawa watu!
Ni wema sana na wapole sana muda wote wanakua wapenda amani
Huwa wanaridhika na hali zao ziwe za furaha au mateso wao huridhika tu,cha ajabu sasa akipata buku ya kula na akakukuta damu yake hujala na huna hrla ya kula anakupa ile buku kisha anaenda kutafuta hela nyingine ale!
Utachoka zaidi pale anapokuwa na tough life halafu uso wake kaufunika na tabasamu muruwaa!
Kuna mchizi mmoja rasta tumesoma nae jamaa ni mbavu ila mpole na mtaratibu sana,sasa pale shuleni kuna mbabe mkuu mbavu haswa,wana tukasema tuwaandalie pambano hawa! Tukawapanga tukaingia porini pambano likaanza mwisho wa siku Ras akapigwa,jioni yake mshkaji alieshinda akitegemea bifu cha ajabu mshkaji alikua peace kinyama!!! Peace mbele kwa mbele kama hakuna kitu vile!
Mwisho kuna mavuta bange mengine mavibaka yanawaharibia image True Rastafari yanaboa haya mambwa!