Zijue aina nne (4) za michepuko

Zijue aina nne (4) za michepuko

JF password tu...

Au kuna ombi jingine?

Chochote utakacho wewe sema tu 'my Boss'...

Kama nimekupa a password to my heart nishindwe ya JF...?


babe soon ntaomba pasword ya pm.....sipendi ku risk life hivi
niache kazi halafu uje utaniane na kina kaizer humu....too risk
 
nahisi unaibiwa kitu.

Kitu gani...embu nishtue...nani mwizi huyo?

babe soon ntaomba pasword ya pm.....sipendi ku risk life hivi
niache kazi halafu uje utaniane na kina kaizer humu....too risk

JF password tu...

Au kuna ombi jingine?

Chochote utakacho wewe sema tu 'my Boss'...

Kama nimekupa a password to my heart nishindwe ya JF...?

Whats all this fuss about?:what:
 
hivi michepuko ilinza karne gani. na ilikuwa maarufu kwa jina gani? MATENGENEZO YATAISHA LINI NJIA KUU ILI MICHEPUKO IFUNGWE?
 
Kuna watu tunashindwa kusema ukweli, kuna njia kuu zingine hazina tofauti na michepuko, tofauti ni kuvaa pete ya ndoa ila majanga mwanzo mwisho mpaka unajuta kuoa.
 
naona karibia michepuko yote ime-base kwenye road transport.. lol

sijui watu wa air hawachepukagi?

Nahisi MH370 ilipotea sababu ilijaa michepuko tupu! kila abiria anataka kwenda inverse na safari! lol..

heheheeeeee
 
Back
Top Bottom